OS (operating systems) za vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

HUNIJUI SIKUJUI

JF-Expert Member
Apr 4, 2015
1,335
1,509
Watu wengi sana binafsi na makampuni wanatumia windows, iOS na androids kama operating systems zao kwa vifaa kama simu na computers...mataifa yalioendelea kwa usalama hawazitumii hizi bali wanakua na OS zao ambazo ni za siri na ili kuwezesha utunzaji wa data kwa usiri wa hali ya juu hata cyber attack inakua ni ngumu kutokea...juzi juzi wiki leaks imetoa publication ni kwa jinsi gani shirika la kijasusi la marekani (cia) lilivyoweza kufanya ushushushu na kukusanya data za watu binafsi na pengine mashirika mbalimbali duniani, zaidi ya watu millioni mia tano walidukuliwa data zao bila wao kujua

sasa mimi nimetafakari nikajiuliza hivi, taasisi zetu kubwa za ulinzi na usalama ie. JWTZ , POLICE FORCE na TISS wana operating systems zao maalumu ambazo si rahisi kua spyed au nao bado wanamtegemea microsoft na kina linux??kwa sababu hizo ndio OS rahisi sana kudukuliwa...

kwa wenzetu kama marekani innovations kubwa kabisa zinaanzia jeshini na wana OS systems zao tofauti na mtu yoyote yule duniani, mfano NASA ni sehemu muhimu ya jeshi la US ambapo kila siku tunasikia ugunduzi mpya...kwa hapa kwetu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vina vitengo maalum vinavyoweza kussuport innovations mbalimbali kwa ajili ya kuboresha ufanisi na utendaji kwa vyombo husika??

korea kaskazini ni taifa lenye uchumi mdogo sana lakini kwa technolojia wapo mbali sana kiasi kwamba ni vigumu kujua nini kinaendelea nchini mwao

hapa kwetu vipi? maana mpaka Gmail tunatumia
 
sekta hii ss bado sana mkuu,
Wenzetu waktucheka nahs ad wanacheka..
Africa n nchi chache sana wame invest kwny technology mkuu..
 
Zis kantri bwana......
OS = Windows +Android. ova
hizi OS ni rahisi sana kuzichezea, kama ni kweli ndio tunazozitumia bas tuna hali ya hatari, bado sitaki kuamini kama kweli ndizo zinazotumiwa na vyombo vyetu vya usalama na ulinzi
 
Kabla hujauliza OS gani wanatumia jiulize hao polisi wanajua maana ya OS?? Je wanajua kutumia hata hiyo linux achilia mbali windows!??

Kidogo jwtz naona wanajitahidi ila polisi wa form failure utajua kutengeneza OS??

N.korea hana uchumi mkubwa kama russia au usa lakin anaheshimika kwa kutumia tech ipasavyo sisi tupo kwenye kuteka na kupigana maneno majukwaani na kugombea front page za magazeti!!
 
Tuko nyuma technology haina kipaumbele sana. Naona Rwanda na Kenya kidogo wanajitahidi kuwekeza kwenye technology. Hata hivyo vita vyetu huku Africa ni vya misituni zaidi hadi tutakapoanza kupata vitisho vya kimitandao ndio akili zitatukaa Sawa. Umeandika kitu cha muhimu Kuna haja ya kuwa na cyber army hata kama hakuna vita wanawekeza kwenye development activities kuwa kuziinua kupitia kizio cha technology. North kKorea wanaOS yao Star Os na kikosi cha kijeshi cha mtandaoni kulinda maslahi yake. Research na innovation kwenye vyombo vyetu vya ulinzi ijielekeze huku kabla waarifu hawajatutangulia...
 
Watu wa IT hao sa sijui munataka mkuu wa majeshi ndio adevelop izo mambo....

Wabongo sisi tuna shiida....
Iyo ni kazi yenu wajuzi... nyie mumesoma na kusoma tena kwa pesa ya serikali afu hakuna os yoyote uliyoigundua .

Afu unauliza vyombo vyako vinatumia nini.

Basi jibu ni hili.

Inatumia JF os. Uliyoigundua majuzi
 
Back
Top Bottom