<br />Ivi jeshi la maji wanafanya nini?<br />
Nilijua tatizo vifaa tuu kumbe ata watu wa uokoaji nao hatuna?<br />
Ntafarijika kama watakuwa wamekuja ongeza nguvu na si kuja fanya iyo kazi wao kama wao!
mi najiuliza champion bus,mohamed tran zilipoteza maisha ya watu,achilia mbali mabomu ambayo mpaka sasa hakuna sbbu ya msingi.leo 2nalia na meli kweli mwisho wa chama cha matapeli umefika
<br />Kama na maboya hayakuwepo tena kweli kuna walakini kwani hakuna sheria kwamba vyombo vya majini vinatakiwa viwe na vyombo vya dharura kama maboya? Kweli ccm mmetupania
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
tuwaulize SUMATRA hapa sijui wanadhibiti nini??
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
tuwaulize SUMATRA hapa sijui wanadhibiti nini??
<br />Uh!poleni wafiwa,something must be done kwenye usimamizi wa sheria na ukaguzi wa usafiri majini
ndio hivyo..hamna jipya.ana mzuka wa igunga
<br />nimeshangaa sana kusikia agizo hili la jk.......DNA ni nzuri lakini akumbuke mait hao wamekfa maji ni rahisi sana kuharibika...