round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 933
- 3,037
Wapigie TRA au nenda Pale Makau Makuu Posta, eleza watakubadilishia venue.Kweli nimeitwa ,, lakini najikuta naiwazia nauli yangu kuelekea dodoma ,,, eeh !! Mungu wangu nisaidie kufanya maamuzi ya busara kati ya kwenda au kuto kwenda..
Wish ingekuwa hivyo ,, lakini nipo Iringa si miongoni mwa mikoa ambayo usahili utafanyika ,,, hivyo kakuna msaada mkubwa naoweza pata hata nikiwapigia..Wapigie TRA au nenda Pale Makau Makuu Posta, eleza watakubadilishia venue.
Sijakuelewa hapaNimejaribu kupoteza muda nikapita list ya wasailiwa POSITION after POSITION nimegundua kuwa katika kila position msailiwa #2 ameandikwa kwa Font ya peke yake.
Ninachotaka kusema ni kuwa wakiajiriwa tusilaumiane😊😊