Orodha ya wakwepa kodi bandarini hii hapa

Orodha ya wakwepa kodi bandarini hii hapa

Kwani kuna Misikiti huko !? .......... wanafundishwa na kusaidiwa na watu waliopata. komunio na kipaimara na ubarikio. libeva

Sasa mbona watu waliopata kipaimara hawapo kwa list!! Lazima wanafundishwa na wazee wa ubwabwa na ndio maana list imejaa wao tu. Ukwepaji Kodi na uuzaji unga ndio fan yenu aibu yenu
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona watu waliopata kipaimara hawapo kwa list!! Lazima wanafundishwa na wazee wa ubwabwa na ndio maana list imejaa wao tu. Ukwepaji Kodi na uuzaji unga ndio fan yenu aibu yenu

Wazee wa kipa imara aka waabudu sanamu wao ndio wala rusha ! yaani kwa kizungu ni facilitators wa kusababisha makonteina yapotee ! Hao wazee wa Kipaimara wanapeleka mazao ya rushwa mpaka kanisani. Bufa
 
Last edited by a moderator:
Lipeni kodi acheni uwizi. Wakwepaji kodi na wauza unga wote ni nyie

....wala rushwa na mnao saidia wakwepa kodi ni nyie ! :hand: acheni kula rushwa Bufa
 
Last edited by a moderator:
Sikukuu za mwisho wa mwaka walio wengi zitakuwa mbaya sana
 
Invisible tuondoleeni tu huu uzi..ushageuka wa kidini!
Its nonsense!
 
Last edited by a moderator:
nimekuelewa ila humu tunataka kodi ya kaizari sio kwenda mbinguni-ndio maana tunasema kwanini majina fulani yanatamalaki? Hili swali linatutafutia majibu na mikakati ya kukomesha. wapo waliojibu kuwa majina ni hayo kwakuwa asili ya wahusika ni huko asia ,sasa swali jingine litakuwa mbona hao wa asia tu ndio wanapewa feight licence atakuja mwingine na majibu labda kamishna mkuu alikuwa-------au mbona walikamatwa bandari ni wanyakyusa wataweza kukujibu kuwa waziri alikuwa-----ndio kinachofanyika na hatuangalii dini wala kabila hayo ni matabaka yetu we can handle
Tuachen ubish na kuleta udin usio na maana kiuhalisia wafanya biashara weng wakubwa ni wa asia, angalia bhakresa, maji, rostam, abinda singseth na weng, kwa hiyo inapojitokeza inshu ya kibiashara upande huo watakua weng
 
Et waarabu wanaakili ya biashara. kumbe awalipi kodi kwanini asiwafilisi kina binsulum kabisa yaani
 
Wanao kwepa kulipa kodi ni watu wenye majina yenye ability ya Asia na wa Na wanao sababisha ni watu wenye majina ya ulaya
 
Wanao kwepa kulipa kodi ni watu wenye majina yenye ability ya Asia na wa Na wanao sababisha ni watu wenye majina ya ulaya

Wanasababisha kivipi? Mfano mimi naweza sababisha vp wewe uslipe kodi? Jifunzeni kuchukua full responsibility ya matendo yenu sio kila kitu mnatafuta wa kumpa lawama
 
Utitiri wa vikampuni ndio chanzo cha matatizo yasiyomaliza. Wekeni system nzuri kila MTU aelewe njia za rahisi ya kulipa kodi zake bila ya kuwapa ulaji vikampuni hivi.

Unakuja na Mzigo uvilipe hivi vikampuni ikisha ulipe kodi huu utaratibu mbovu sana.
 
Back
Top Bottom