Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Hakuna sehemu haitoguswa serikali mpya inajua nini inafanya.
Tunataka kujua pia yale magari ya ccm landcruiser walizoziingiza 2010 kama zililipiwa ushuru
Hakuna sehemu haitoguswa serikali mpya inajua nini inafanya.
Tumekuwa tukisikia malalamiko toka upande wa pili juu ya mfumo kristo kutawala na kukandamiza ule upande mwingine lakini ukiangalia records na Data za kiuchumi ule upande unaolaumu na kuhisi unahujumiwa ndio unaongoza na kuhodhi asilimia kubwa ya uchumi wa nchi, na hata majipu mengi tena yaliyokaa vibaya ni ya upande huo. inashangaza!?
mkuu vipi sector ya mabenki, makampuni ya simu, na makampuni ya kitalii hayana nafasi hapa
Mungu endelea kumlinda Magufuli.
Nawashangaa sana wanaoleta udini katika jambo hili lakini ni bora kama huna cha kuongea ukae kimya ili heshima yako iendelee kuwepo"
haya majina yapo kama selected yaani 96% upande huu
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?
Acha habari za udini hazina tija kwetu! Na maafisa wa tra na tpa waliokuwa wakiwasaidia nao ni wa upande upi?
Afadhali ungesema, katika majina hayo hamna jina la mwanamke au kama yapo basi ni machache tu!
hata ukisema hayo ya mwanamke ni ubaguzi pia-labda tusiya analyse tuyatazametu-mbaguzi ni huyu aliyeyaaleta atupie na hayo ya upande ule-maana tumeaminishwa kuwa ni wachagga , wanyachusa na wahaya ndio vinara-tusione aibu tuchambue tu katika kila engo kisha tusameheane-hata kwenye uchaguzi tulitumia ukabila ukanda matusi badae tumesema yaishe na yameisha nafikiri
Nikweli mkuu, ila yangu ilikuwa kusema kwamba, wanawake wameonyesha kuwa waaminifu katika hiyo ishu kuliko wanaume!
Afadhali hata ya ukabila Tanzania, maana yapo karibu 120 hivi! Mhehe akikwaruzana na msandawe au mchaga bado haiwezi kuligawa taifa! Ila udini, ni hatari kwani karibu kila dini ina waumini 50% ya raia wote nchini...chuki ambazo hazina sababu ya msingi mkuu!
Wewe utaenda mbinguni kwa matendo yako binafsi, na siyo kwa kuwa yule yupo dini yangu au siyo dini yangu!
Tumekuwa tukisikia malalamiko toka upande wa pili juu ya mfumo kristo kutawala na kukandamiza ule upande mwingine lakini ukiangalia records na Data za kiuchumi ule upande unaolaumu na kuhisi unahujumiwa ndio unaongoza na kuhodhi asilimia kubwa ya uchumi wa nchi, na hata majipu mengi tena yaliyokaa vibaya ni ya upande huo. inashangaza!?