Orodha ya wakwepa kodi bandarini hii hapa

Orodha ya wakwepa kodi bandarini hii hapa

Majina MENGI Ni........ Mashekh wetu watubisheni hao warudisheni misikitini

Majina mengi ya walio ruhusu wakwepa kodi kwa kula rushwa ni ya waliosomeshwa na Kanisa. Wana vyeti vya kipaimara na wamepata ubarikio na komunio meca
 
Last edited by a moderator:
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?

Sisi ndiyo wafanyabiashara kwa kuwa nafasi za maofisini mmewekana nyie,ikumbukwe pia mmetunyima elimu
 
Kazi kubwa aliyonayo Mh.JPM ni kuzipitia upya nyaraka za serikali ikiwa na mfumo mzima wa malipo ya kodi,ikiwezekana uwe full Teknohama na hivi sasa tuna mkonga wa raifa. Vile vile wananchi na wafanya biashara waelimishwe umuhimu wa kulipa kodi. Pia kodi kama zitalipwa na watu wote wanaostahili kodi itapungua na kufanya ilipike kwa hiari.
Ni rahisi sana kwa wananchi kujua umuhimu wa kulipa kodi pale wanapohakikishiwa kodi wanazolipa zinaenda kuleta maendeleo yaliyo ahidiwa.Kosa kubwa katika nchi yetu ni kudai wananchi walipe kodi ili hali viongozi kila kukicha ni kuangalia vioo kuona walivyo funga tai kuelekea uwanja wa ndege na kwenda kutumbua kodi za maskini ugaibu huku wakiulizwa wanadai wanaenda kuomba misaada.Wananchi wanataka kuona kodi zao zinaleta unafuu katika upatikanaji wa huduma muhimu.Hakuna mwananchi hata ingetolewa elimu ya namna gani anaweza kuwa na moyo wa uzalendo kulipa kodi zinazoenda kuneemesha watu wachache kama tulivyoshuhudia serikali ya kifalme iliyopita.
 
Hata orodha ya wauza unga wengi Ni wao unaweza connect dots

......... kwakuwa walikosa elimu baada ya Kanisa kuihodhi na watendaji wake waliowapandikiza kwenye sekta ya elimu kuendekeza dhulma ya "kukata kata majina ya waswahili' ! Bufa
 
Last edited by a moderator:
Kamaule ukweli kuwa wenye kupenda kupokea rushwa ni wale waliosoma Kwa nguvu ya Kanisa na wanavaa misalaba shingoni ! Ryaro wa Ryaro
Halafu wanashindana madau kwenye kutoa sadaka kumbe ni pesa ya rushwa.mfano Escrow pesa yote ilienda kanisani
 
Last edited by a moderator:
......... kwakuwa walikosa elimu baada ya Kanisa kuihodhi na watendaji wake waliowapandikiza kwenye sekta ya elimu kuendekeza dhulma ya "kukata kata majina ya waswahili' ! Bufa

Nasubiri mseme ni njama mmefanyiwa mnaonewa maana hamchelewa kulalamika
 
Last edited by a moderator:
Safiiiiii Magufuli safiiiiiiiii...

Kila siku Rais wangu anafanya mambo makubwa kwa Taifa letu... tumuombee Mungu jamani...!!

👏👏👏🙌🙌🙌👍👍
 
Udini ushaingia ktk uzi huu!ngj nipite
 
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?
Hayo ni maoni yako. Lkn hoja ni je walioorodheshwa ni sahihi wanahusika.Tukianza kuangalia rangi ya paka panya watakimbia.
 
Majina ya upande wa kwanza yako sector za uma na serikalini. Kwa sababu ya upendeleo katika kutowa elimu na ajira. Refer EPA, Escrow, Richmond, Radar scandal, na hawajaguswa

Ongeza na mgao wa Stanbic wa asilimia moja.
 
Kuna jamii fulani ya binadamu wa kuhamia hapa nchini kwetu ambao asili yao si Afrika, hawa kodi kwao ni dhambi. Kwa kifupi hawafuati hata sheria za barabarani

Wanaohamasisha (facilitate) ukwepaji ni jamii ya ngozi nyeusi asili ya Tanzania (mfano: wale wa tra sikuona asili nyengine).

Wangekuwa ngangari wasingeruhusu ukwepaji kodi.
 
Na huo upande wa kwanza unao lalamikiwa ndio wenye kuhodhi nafasi zote muhimu za Serikali na zimekuwa zikisaidia upande wa pili kwa kuwa walaji wakubwa wa rushwa ! Sahihi zao, tamaa zao na ubinafsi wao ndio uliofikisha Taifa hapa Kabembe

Hii ni kama game kati ya beauty and the beast, the beast like dirty because dirty bring them results they highly needed and then go back to their communities spreading lies and how bad the system is while behind they're ones who are making majority of the people suffer
 
Last edited by a moderator:
Swaleh Mohammed Swaleh Na Bhakresa nae ni wale wale
 
Back
Top Bottom