Kodi haikwepi bandarini tu na sehemu nyingine kibao
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?
Kodi haikwepi bandarini tu na sehemu nyingine kibao
Huwezi kuzuia kampuni (ya uwakala) kufanya kazi ghafla hivyo? Suppose wameishaingia mkataba wa kuki-clear mzigo ulioko melini tayari. Hawa watendaji wa chini wapewe darasa la tahadhari za kisheria vinginevyo watasimamisha uchumi wa nchi kwa hofu zao juu ya tinga tinga.
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?
Sisi tunasumbuka na wakwepa kodi na si vinginevyo..kama nchi itasimama kwa sababu wakwepa kodi kushughulikiwa ni bora isimame tuu..! Tunajua majipu yanauma lakini tunaomba mtuvumilie...Huwezi kuzuia kampuni (ya uwakala) kufanya kazi ghafla hivyo? Suppose wameishaingia mkataba wa kuki-clear mzigo ulioko melini tayari. Hawa watendaji wa chini wapewe darasa la tahadhari za kisheria vinginevyo watasimamisha uchumi wa nchi kwa hofu zao juu ya tinga tinga.
Hata mmi nimejiuliza hili swali. Yaan mpaka unajiuliza why ni nasaba ya aina moja?Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?
TANZANIA ITAENDESHWA VYEMA NA KODI HASA ZA;-
BANDARI ZETU
VIWANDA VYETU HASA VYA BIA,SODA,SIGARA,MADINI,GASI KWA ASILIMIA 100,
hivi vingine ni vikodi vidogovidogo tena vingi vinatakiwa KUFUTWA au kupunguzwa ili kumpunguzia mtanzania wa kawaida mlalahoi mzigo mzito.