Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,985
- 35,099
Mmawia muda mwingine uwa na akili kumbe😱Mkuu huko unakoelekea hakufai kabisa kwani hata rwanda walinza hivyo hivyo
Last edited by a moderator:
Mmawia muda mwingine uwa na akili kumbe😱Mkuu huko unakoelekea hakufai kabisa kwani hata rwanda walinza hivyo hivyo
Majina MENGI Ni........ Mashekh wetu watubisheni hao warudisheni misikitini
Mkuu kama Masamaki ana sali Kweli? Na hawa tusiwaachie mahakimu tu, wachapwe Viboko. Mbele ya umaMajina mengi ya walio ruhusu wakwepa kodi kwa kula rushwa ni ya waliosomeshwa na Kanisa. Wana vyeti vya kipaimara na wamepata ubarikio na komunio meca
Mkuu kama Masamaki ana sali Kweli? Na hawa tusiwaachie mahakimu tu, wachapwe Viboko. Mbele ya uma[/QUOT
Na hao wenye majina Kiislaam si Maimamu Msikitini bali ni wafanya biashara, Uislaam ni Uadilifu. Nenda Dubai kwenye watu wanao ogopa dhulma. Watu hawafungi maduka wakati wa kuswali. meca
Mkuu huko unakoelekea hakufai kabisa kwani hata rwanda walinza hivyo hivyo
Hii ni kama game kati ya beauty and the beast, the beast like dirty because dirty bring them results they highly needed and then go back to their communities spreading lies and how bad the system is while behind they're ones who are making majority of the people suffer
Majina ya upande wa kwanza yako sector za uma na serikalini. Kwa sababu ya upendeleo katika kutowa elimu na ajira. Refer EPA, Escrow, Richmond, Radar scandal, na hawajaguswa
Mbona majina mengi ni yale ya upande wa pili? Au hao ndiyo wapenda vya mteremko?