Mdaiwa-Sugu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 284
- 910
- Thread starter
- #41
Jokate yuko smart mkuu na anafanya kazi yake vizuri tu bila papala hata file lake halina makando kando kama hao wanane hapo juuJokate DC Kisarawe
Jokate yuko smart mkuu na anafanya kazi yake vizuri tu bila papala hata file lake halina makando kando kama hao wanane hapo juuJokate DC Kisarawe
Mwafaa.Natamani kumuona DC Jokate akipewa nafasi zaidi, anachapa kazi pia ni mbunifu kwenye uongozi wake....
Hongera kwake
Umesikika la msingi ni kumwombea heri tu kusudi siku moja matarajio yako na yake yatimieNatamani kumuona DC Jokate akipewa nafasi zaidi, anachapa kazi pia ni mbunifu kwenye uongozi wake....
Hongera kwake
Bi mkubwa hawezi kuwapa uRC hao wahuni tena wakae kimya kabisa asije kuchefukwa na roho kesho akawazinguaBi mkubwa hatabiriki unaweza shangaa hao wakapewa URC kabisa..
Ila mpaka sasa naona ameanza vyema
DC wa Nachingwea apewe mkoa, yupo vizuri sana9. Rosemary ( Dc same)
10. Dc Geita mjini
11. Dc chato
12. Dc handeni
13. Dc siha
14. Dc ilemela
15. Dc kibaha
16. Dc igunga
Ukweli ni ka dada kashoka anajitahidi mno huwezi fananisha na akina Jerry muroNatamani kumuona DC Jokate akipewa nafasi zaidi, anachapa kazi pia ni mbunifu kwenye uongozi wake....
Hongera kwake
Anapewa mkoa sasa, sijui utajisikiajeJokate DC Kisarawe
Hao wote umewataja ni pisi kaliHii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Mama anna mgwhira yuko vizuri upstairs labda hao wengineRC Mbeya
RC Kilimanjaro
RC Iringa
Sabaya na Muro wote majambazi watupuWakuwazingua kabisa ni hao wawili,Sabaya na Jeri Muro.Hawana haiba ya kwendana na mama
Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Hahaha "ukizingua tunazinguana"Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Mjane???Jokate DC Kisarawe
Kichwa maji,wewe hawa wakuu wa wilaya woote ubovu wa ni upi?,mbona wajinga wanazidi kuongezeka if?Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Ongeza Ally Hapi (RC Iringa) na Albert Chalamila (RC Mbeya)Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Kazi ipiKwakweli, anapiga kazi sana yule dada.