Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
MjaneJokate DC Kisarawe
MjaneJokate DC Kisarawe
Mwendazake alikusanya wahuni tu na kuwapa madaraka hata bila kuwa na sifa zozote.Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Jokate DC Kisarawe
Gondwe na yeye alikuwa akipenda publicity huku akifokea watu kama amekunywa balimi za ofa.Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Mataga nakuonaKwasababu alikukataa, DC Jokate yupo vizuri sanaa huyu. Hongera kwake
Bado kuna oradha ya Wakuu wa Mikoa:Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Yule manz dc wa kigambonino,yupo hapo ???Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Ah siamini yaan ktk safu hii ya ma Dc ma Ded lazima hapo.mama.ata wapiga chini tena wengi sanaaa ma RC ndio ata wa reshuffle.kijana kama lengai hukonajiandae tu kupanga assets zake zilizopo ofisinMama Rais ni mtu wa haki, hatopenda maumivu kwa watu wengi. Yawezekana asiwatoe hata mmoja akawa re shuffle na kuwapa ONYO NA KARIPIO.
Vile watakuwa wamepata second chance watakuwa na nidhamu.
Everyday is Saturday...............................
Anafanya kazi nzuri sana hukoIvi yule Bongo movie ya kissarawe mbna umemsahau
Jokate ana kosa gani ?Jokate DC Kisarawe
Jokate anastahili kupandishwa awe RC. Kutokana na uwezo wake a kuchapa kazi.Ivi yule Bongo movie ya kissarawe mbna umemsahau
Nakusalimia kwa moyo wangu woteNatamani kumuona DC Jokate akipewa nafasi zaidi, anachapa kazi pia ni mbunifu kwenye uongozi wake....
Hongera kwake
Wamechelewa watupwe nje mara moja.Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Ongeza RCS wote, first ChalamilaHii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa