hamna kitu, faili lake lipo,chawa tu yule.Jokate ni kiongozi mzuri. Anajielewa sana
Huyu Dada yupo, hongera kwake pia! hivii kaolewa huyu Dada!! Nauliza tu jamani!Kwakweli, anapiga kazi sana yule dada.
Mama Ikikupendeza apewe mkoa huyu Dada, naona ana mengi ya kuwafanyia wananchi, ni wazo langu tu.nakazia hapa, uenda ana mengi sana ya kuwafanyia wanachi naomba apewe mkoa itapendeza zaidi, tukitoa zile rumors kuhusu mahusiano na mh ila alionyesha utofauti sana zaidinya hao waliowazoefu
Muongeze DC wilaya ya Kasulu (Kigoma)Hii ni orodha ya wakuu wa wilaya walioaminiwa na hayati magufuli na kupewa wadhifa huo lakini kwa kipindi chote cha utumishi wao wameonekana kupwaya kwa sababu mbali mbali zikiwemo ubabe, majivuno, ukatili, migogoro na watumishi, wananchi n.k
1. Komanya Kitwala ( dc Tabora)
2. Lengai Ole Sabaya (dc Hai)
3. Joseph Mkude ( dc Ileje)
4. Jerry Muro ( dc Arumeru)
5. Asia Abdallah ( dc Kilolo)
6. Magembe (dc Ukerewe)
7. Mgoyi ( dc Kilosa)
8. Kenan Kihongosi ( dc Arusha)
Kama upo kwenye orodha hii kuanzia sasa badilika kabla hujazinguliwa na Bi mkubwa
Shem kwa nani Mkuu?!Shem sasa apewe Mkoa!
Ongezea na RC Mbeya hawafai kabisa hawa watu.
Ole Sabaya na genge lake wanapaswa kuwa ndani muda huu
Aliumiza wengi sanaUliona mbali ole sabaya tayari ni mahabusu...