Wanabodi Salaam,
Naandika haya nikitambua kuwa kwa Mamlaka ya Rais. Rais hatalazimika kufuata ushuri wetu pindi atakapo kuwa akitimiza majukumu yake kwa mujibu wa katiba.
Hata hivyo ni muhimu kwa Rais kupitia ushauri wa wananchi anaowaongoza kwa kuwa mamlaka yake yametoka kwa wananchi.
Rais anaendelea kupanga na kupangua safu yake ya kumsaidia katika kuiongoza nchi yetu.
Katika teuza za majaji na wakuu wa miko,wengi wamepongeza isipokuwa tu kwa aliekuwa DPP na Wakuu wawili wa mikoa,yaani Chalamira na Ally Happi, waliosalia wamefaulu mtihani wa mchujo wa wananchi.
Uteuzi wa wakuu wa Wilaya
Huku ndio kuna utitiri wa viongozi wajinga na wanaoharibu taswira ya serikali.
Mamaa yetu mpendwa Rais Samia huku usifanye uhamisho,huku wabaki 20% tu.
Asilimia 80 teua ma DC wapya,nashauri katika uteuzi wako chukua watu kutoka Idara za serikali na sio vyama vya siasa.
Watumishi waliopo kwenye Idara mbalimbali za serikali wanaouzoefu mkubwa wa kufanya kazi za serikali.
Watumishi hawa wameshiba maadili ya uongozi wa umma tofauti na hawa malimbukeni wanaotukana watu na kujigeuza miungu watu.
Mh.Rais Samia watumishi hawa wanajua vizuri jinsi serikali invyofanya kazi,wamesoma uongozi na utawala,hawatakuangusha kama wanavyofanya aki na Sabaya.
Orodha ya wakuu wa wilaya wasiotakiwa kuwemo kwenye 20% ya watajaobakishwa.
1. Ole Sabaya Wa Hai afukuzwe rasmi(sasa amesimamishwa)
2. Komanya Kitwala wa Tabora mjini afukuzwe maana kazi yake ni kugombana na surbordinates wake.
3. Yule Mama wa Kilolo afukuzwe maana kagimbana na madereva 14, yaani hana moral authority ya kuendelea kuitwa DC.
4. Mtazame kwa jicho la Tatu DC wa Gairo, nae ni msumbufu na anamajivuno.
Karibuni wana jamvi ,mnisaidie kusaga kunguni kwa ma DC wa hovyo ambao Mama anatakiwa kuwafukuza kazi.
NB. Gondwe na Joketi wabakishwe kwenye 20%.
Ni hayo tu kwa leo.
Naandika haya nikitambua kuwa kwa Mamlaka ya Rais. Rais hatalazimika kufuata ushuri wetu pindi atakapo kuwa akitimiza majukumu yake kwa mujibu wa katiba.
Hata hivyo ni muhimu kwa Rais kupitia ushauri wa wananchi anaowaongoza kwa kuwa mamlaka yake yametoka kwa wananchi.
Rais anaendelea kupanga na kupangua safu yake ya kumsaidia katika kuiongoza nchi yetu.
Katika teuza za majaji na wakuu wa miko,wengi wamepongeza isipokuwa tu kwa aliekuwa DPP na Wakuu wawili wa mikoa,yaani Chalamira na Ally Happi, waliosalia wamefaulu mtihani wa mchujo wa wananchi.
Uteuzi wa wakuu wa Wilaya
Huku ndio kuna utitiri wa viongozi wajinga na wanaoharibu taswira ya serikali.
Mamaa yetu mpendwa Rais Samia huku usifanye uhamisho,huku wabaki 20% tu.
Asilimia 80 teua ma DC wapya,nashauri katika uteuzi wako chukua watu kutoka Idara za serikali na sio vyama vya siasa.
Watumishi waliopo kwenye Idara mbalimbali za serikali wanaouzoefu mkubwa wa kufanya kazi za serikali.
Watumishi hawa wameshiba maadili ya uongozi wa umma tofauti na hawa malimbukeni wanaotukana watu na kujigeuza miungu watu.
Mh.Rais Samia watumishi hawa wanajua vizuri jinsi serikali invyofanya kazi,wamesoma uongozi na utawala,hawatakuangusha kama wanavyofanya aki na Sabaya.
Orodha ya wakuu wa wilaya wasiotakiwa kuwemo kwenye 20% ya watajaobakishwa.
1. Ole Sabaya Wa Hai afukuzwe rasmi(sasa amesimamishwa)
2. Komanya Kitwala wa Tabora mjini afukuzwe maana kazi yake ni kugombana na surbordinates wake.
3. Yule Mama wa Kilolo afukuzwe maana kagimbana na madereva 14, yaani hana moral authority ya kuendelea kuitwa DC.
4. Mtazame kwa jicho la Tatu DC wa Gairo, nae ni msumbufu na anamajivuno.
Karibuni wana jamvi ,mnisaidie kusaga kunguni kwa ma DC wa hovyo ambao Mama anatakiwa kuwafukuza kazi.
NB. Gondwe na Joketi wabakishwe kwenye 20%.
Ni hayo tu kwa leo.