Orodha ya viongozi wanaofaa kuwa Marais huko mbeleni

Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa

Mh. Suleiman Jaffo

Mh. Samia Suluhu Hassan

Mh. January Makamba

Hasa hasa hao wawili wa mwanzo hawana mbaya japo wapo katika uongozi ambao watu wanaulaumu sana lakini wao maeendelea ku maintain their status na wanazitendea haki nafasi zao.kama kula na kipofu wanajua.

Nadhani Mungu ana maana yake kutuwekea hao viongozi nawaona mbali sana.

Huu uzi nitaufufua tena 2025.
Kwani marais wa huko mbeleni lazima watoke sisiem au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada hii ina elements za udini

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza sasa sijui wapi pana udini mkuu.

Ndo mana kuna watu wanakurupuka kama huko yudom wakiamishwa watu wa dini moja wanalia oooh kuna udini kwa nini? Kwa sababu eti mbona wamehamishwa watu wa dini moja tuu?

Mkuu nawe unakuja na mapito hayo hayo sasa?
 
Inawezekana kabisa hawa wote uliowataja asitokee hata mmoja Kati Yao atakayeteuliwa kuwa Rais. Nani alimjua Magufuli atakuwa Rais. Hata wakina Benard Membe hawajakata Tamaa. Hichi kitu hakuna anayejua

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap kuna kuwezekana na kufaa-hayo ni mambo mawili tofauti.

Nikisema magufuli anafaa kutawala milele kwa sababu zangu haina maana kwamba INAWEZEKANA YEYE KUTAWALA MILELE.

Hyo ni mtazamo tu mkuu uko mbali na uwezekano.
 
Lakini hiyo haina maana kwamba hawatotokea marais wengine wakuitawala tanzania.hata kama unaona anafanya kazi nzuri sana kuliko wote basi ukweli ni kuwa watakuja maraisi wengine tu.sasa hapo katika marais hao wengine wanaokuja ndo mimi nikawataja hao kwamba wanafaa kuwa marais...
Hakuna rais atakaye kuja na kumzid Mh.Dr John Magufuli kiutendaji na hatotokea kamwe katik ardhi hii ya tanzania bara
 
Lissu hatoshi kuwa raisi.

Lissu anafaa sana kuwajaza watu sumu na kumchukia mtu fulani ama kumpenda.kipaji hichoissu anacho.lakini hawezi kuwa raisi lissu.
Na hata hafai kuwa raisi.ngoja tumtizame miaka 20 mbele tuone mwenendo wake
Tundu Lisu watachwaana na makonda 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ni fikra zako lazima zijengwe juu ya msingi na facts, vinginevyo zitakuwa za kijuha tu.
Kukusaidia kidogo tu uchaguapo kiongozi, weka vigezo hivi angalau,1.Mtu mwenye uelewa na historia ya kuheshimu katiba,kanuni,sheria na kutoingilia taasisi 2.Mwenye uelewa na uzoefu wa masuala ya uchumi 3.Mwenye kuweza kujenga na kuimarisha uhusiano na diplomasia kwa majirani zetu na mataifa ya nje 4.Anayewza kuvumilia na kuheshimu mawazo ya upinzani/mbadala 5.Asiyekuwa na vimelea vya rushwa.
Haya wapime hao watu wako kwa hivi vigezo,sio kusema ni fikra zako tu
Kigezo kikubwa ni fikra zangu na namna ninavyowaona hawa watu,haina maana nataka niwaaminishe nyie nyote hapana.unaweza ukaona kinyume na mimi.

Ila tu hawa niliowataja uchapa kszi wao unauonaje,ki busara na kutokulewa na madaraka kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom