Orodha ya nchi ambazo zimeendelea bila kuwa na vyama vya upinzani

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Salamu Wakuu! Poleni na hongereni na majukumu.

Naomba kujua Nchi ambazo zimeendelea bila kuwa na Vyama vya Upinzani ama kutokuwa na Upinzani.

Najua kuna Wataalam wenye uelewa na exposure ya Nchi za watu au Nchi zilizoendelea.

Bila kukosolewa /bila kurekebishwa / bila kushauriwa kuna uwezekano wa nchi kuprogress kwenda mbele?

Asanteni sana.
 
MAREKANI, UINGEREZA,JAPANI, ITALIA, UFARANSA, HISPANIA N.K HIZI NCHI NI PYUA DICTASHIP
 
Salamu Wakuu! Poleni na hongereni na majukumu.

Naomba kujua Nchi ambazo zimeendelea bila kuwa na Vyama vya Upinzani ama kutokuwa na Upinzani.

Najua kuna Wataalam wenye uelewa na exposure ya Nchi za watu au Nchi zilizoendelea.

Bila kukosolewa /bila kurekebishwa / bila kushauriwa kuna uwezekano wa nchi kuprogress kwenda mbele?

Asanteni sana.
Maana yake unazungumzia,nchi za kidikteta, nijuavyo dikteta na maendeleo ni sawa na mbingu na ardhi,maana madikteta wengi ni primitive hawana exposure, mda mwingi upambana na watu wanaowapinga kuliko kupambana na maendeleo. Na dikteta MTU mwenye uwezo kumzidi ni sumu kwake,lazima alazimishwe aishi kama shetani, madikteta wote wana chuki na matajiri,kwao ujinga na umasikini ndo kinga ya Salama ya utawala wao,mfano bokassa,amini, nk
 
Nafahamu CCM iliiongoza Tanzania peke yao kwa takribani miaka 30 na muda wote huo walifanikiwa yafuatayo:-
-Per capita income $300
-Vyuo vikuu 2
- Institutes (colleges) 3
-Colleges 3
-Referral hospitals 2
- By average, less than 10 secondary schools kwa mkoa
-Barabara zisizopitika majira yote nchi nzima kasoro barabara chache
-Ingawaje sehemu kama Lindi ukipita Mbagala tu hapo unakuwa umeshafika lakini enzi za CCM kutawala bila kutupiwa jicho na upinzani watu walikuwa wanatumia mwezi kufika Lindi

-Hakuna shaka kwamba Bukoba na Mwanza ipo Tanzania lakini enzi za CCM kutawala bila upinzani ni kama ulitakiwa kwanza uwe na passport ndipo ufike sehemu kama Bukoba!
-Waliokuwa wanasoma shule kama St Anthony (Dar); majira ya mvua walitakiwa kuteremka Mtoni Mtongani na kutembea kwa mguu!

Hayo ni baadhi tu ya matunda ambayo Tanzania ilivuna wakati CCM ilipokuwa inatawala bila kutupiwa jicho!!
 
Salamu Wakuu! Poleni na hongereni na majukumu.

Naomba kujua Nchi ambazo zimeendelea bila kuwa na Vyama vya Upinzani ama kutokuwa na Upinzani.

Najua kuna Wataalam wenye uelewa na exposure ya Nchi za watu au Nchi zilizoendelea.

Bila kukosolewa /bila kurekebishwa / bila kushauriwa kuna uwezekano wa nchi kuprogress kwenda mbele?

Asanteni sana.
Acha uvivu! Google upate majibu!!
 
Salamu Wakuu! Poleni na hongereni na majukumu.

Naomba kujua Nchi ambazo zimeendelea bila kuwa na Vyama vya Upinzani ama kutokuwa na Upinzani.

Najua kuna Wataalam wenye uelewa na exposure ya Nchi za watu au Nchi zilizoendelea.

Bila kukosolewa /bila kurekebishwa / bila kushauriwa kuna uwezekano wa nchi kuprogress kwenda mbele?

Asanteni sana.
swali lako limekaa kiwaki sana mze baba
 
UAE ambapo Dubai inapatikana nadhan ni mfano bora. Rwanda baada ya vita, chini ya Slim. Kuwa na upinzani sio guarantee ya kuwa na Maendeleo. Udikteta unaweza kuwa ni mzuri pia pale mnapompata kiongozi aliye visionary, na ana timu bora ya usimamizi na anashaurika.
Hivi China wanafanya uchaguzi lini
 
Back
Top Bottom