Orodha mpya Mabilionea Afrika 2024

Naomba kujua anaye ni namna gani Forbes wanawapata hao matajiri
1706019566694.png
 
Naomba kujua anaye ni namna gani Forbes wanawapata hao matajiri
Navyojua, wanaangalia thamani ya assets zote na pesa unayomiliki.

Ila hii mara nyingi inafanyika kwa hawa matajiri kutoa taarifa zao na wengine wasiotoa huwa wanafanyiwa makadirio based na vitu vinavyojulikana..

Hawa forbes mara nyingi hutumika kuongeza value ya majina ya watu husika wawe matajiri au la, ndio maana miaka zaidi ya kumi nyuma, Donald Trump alimpeleka mahakamani muandishi aliyemuita millionaire instead of a billionaire kwa sababu alimpunguzia thamani yake kwenye umma😁😁
 
duh I was just wondering to for what reason my dad is not in the list, an answe came imediately that he left the chance for me to do on his behalf!
 
Bakheresa ni tajiri ila hataki mali zake zihesabiwe amekataa ndio hayupo ktk Forbes za ndani watu wanasema bakheresa Mali zake na kampuni na viwanda unavyoona sio zake peke yake bali kuna share na watu that's why hataki kuhesabiwa kwakuwa Mali sio zake peke yake
Bakhresa ni millionaire in term of USD anacheza kwenye $800 mln
 
Navyojua, wanaangalia thamani ya assets zote na pesa unayomiliki.

Ila hii mara nyingi inafanyika kwa hawa matajiri kutoa taarifa zao na wengine wasiotoa huwa wanafanyiwa makadirio based na vitu vinavyojulikana..

Hawa forbes mara nyingi hutumika kuongeza value ya majina ya watu husika wawe matajiri au la, ndio maana miaka zaidi ya kumi nyuma, Donald Trump alimpeleka mahakamani muandishi aliyemuita millionaire instead of a billionaire kwa sababu alimpunguzia thamani yake kwenye umma😁😁
Hahahahahaha..ni sehemu ya promo kwa matajiri
 
Back
Top Bottom