Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,941
- 29,695
Semenya tuliaKwenye hii list kuna wachaga wangapi?
Semenya tuliaKwenye hii list kuna wachaga wangapi?
Naomba kujua anaye ni namna gani Forbes wanawapata hao matajiri
Wivu wao tu hao!dah,
wameniacha tena kwa mara nyingine
Ila utajiri wa mudi ni wa ukooHongera zao.....
Naona wanaijeria wameiteka Africa..
Nyinyi ndo wale mna dollars elfu 25 kama million hamsin hivi lakini makelele mingiii na makafara na kukojoa na kunya njia panda.dah,
wameniacha tena kwa mara nyingine
Navyojua, wanaangalia thamani ya assets zote na pesa unayomiliki.Naomba kujua anaye ni namna gani Forbes wanawapata hao matajiri
Sasa huo ufafanuzi si uulete hapa?Wote mnaouliza kwanini Bakhressa hayupo?
Hilo swali lilisha tolewa majibu.
Na hata ukiangalia TOP HUNDRED YA MATAJIRI WA AFRIKA UNAWEZA USIMKUTE. Ufafanuzi ulisha tolewa
aise wamenivunja moyo sanaWivu wao tu hao!
NafikiriKwahiyo akifika Moshi anakuwa mchaga?
Nyie wapi wazee wa migombani?Dangote ana utajiri zaidi ya iyo 13 billion. Utajiri wake halis ni 84 billion usd
Angalia biashara anazofanya Mo na Bakhresa zipi ambazo zina demand kubwa kwenye maisha ya watu kwa zaidi ya asikimia 70?Hivi kumbe bakresa yupo chini ya Mo
Yule anajua kujitangaza tu 😂😂😂Tajiri wa Yanga vipi?
aise unatukana tajiriNyinyi ndo wale mna dollars elfu 25 kama million hamsin hivi lakini makelele mingiii na makafara na kukojoa na kunya njia panda.
Nyau nyie
Bakhresa ni millionaire in term of USD anacheza kwenye $800 mlnBakheresa ni tajiri ila hataki mali zake zihesabiwe amekataa ndio hayupo ktk Forbes za ndani watu wanasema bakheresa Mali zake na kampuni na viwanda unavyoona sio zake peke yake bali kuna share na watu that's why hataki kuhesabiwa kwakuwa Mali sio zake peke yake
Hahahahahaha..ni sehemu ya promo kwa matajiriNavyojua, wanaangalia thamani ya assets zote na pesa unayomiliki.
Ila hii mara nyingi inafanyika kwa hawa matajiri kutoa taarifa zao na wengine wasiotoa huwa wanafanyiwa makadirio based na vitu vinavyojulikana..
Hawa forbes mara nyingi hutumika kuongeza value ya majina ya watu husika wawe matajiri au la, ndio maana miaka zaidi ya kumi nyuma, Donald Trump alimpeleka mahakamani muandishi aliyemuita millionaire instead of a billionaire kwa sababu alimpunguzia thamani yake kwenye umma😁😁