Origin of life on earth (Mwanzo wa maisha hapa duniani)

Mzehe nikuulize wanasayansi wanatumia mbinu zipi kutafuta life nje ya dunia???
Ukweli ni kwamba life wanayoitafuta ni intelligent life kama au zaidi yetu sisi binadamu ..hamna mwenye interest ya kutafuta amoeba huko europa Jupiter.
Hizo unicellular maybe wanazitafutia mwezini na mars tu ila sio nje ya hapo.

Then kuhusu hizo building blocks, ulishawahi kujiuliza kuwa kwani lazima life ianze na hizo elements??Huenda sehemu nyingine ya ulimwengu kuna aina zingine za atoms&molecules ambazo zimetengeneza other forms of life
Mbinu wazotumia wana'sayansi katika kuangalia possibility ya Life ktk exo planets, mojawapo ya mbinu hiyo inaitwa Spectroscopy (Red shifting), kupitia hiyo wanatuma Radio waves ku'detect color ya chemicals zinazopatikana katika sayar hizo je zinaendana na color ya elements zinazo'support life au la!?

Ishu wanazotafuta sio Intelligent Life kama ulivyonuia bali ni planets ambazo zinaweza kuwa habitable kwa either binadam au kwa life yoyote hata kama haihusiani na binadamu. Intelligent life yoyote itayakuwepo ni matokeo ya tafiti zao but sio main drive inayowapeleka huko!

Pili katika ulimwengu (universe) tunayoishi kumbuka umeanzia katika Big bang ambayo ndo ulitengeneza elements zote zinazopatikana kwenye kila kona ya ulimwengu,
Elements hizo ikiwemo Carbon, Hydrogen, Oxygen, Nitrogen hizi ambazo zimetengeneza Solar system yetu hapa na zingine zinazopatikana eneo lolote ndan ya ulimwengu huu.
So kusema kwamba viumbe wengine kama wapo watakuja na chemical forms zingine haitakuja kutokea unless viumbe hao wawe wawawekea nje ya Ulimwengu (Universe) huu!
 
Pengine ili mjadala uweze kunoga zaidi ungejaribu pia kuangazia swali hili: maisha/uhai hasa ni nini? Ni muunganiko tu wa Amino acids, Carbon na hizo elementi zingine zinazojenga uhai au kuna cha ziada? Kwa maana nyingine, tukikupa hizo elements zote na mazingira sahihi yanayofaa kwa uhai kuwepo, unaweza "kuzikoroga" na kuzichanganya mpaka siku moja vu bin vu uhai ukaanza kama wanavyodai wanasayansi?

Nitarudi
Yeaa nalo ni swali zuri, tunapoongelea uhai/maisha tunaongelea Biological species anayeishi,

Kwenye Biology kuna kitu kinaitwa functional unit kwa maana hicho kitu chochote hususani kinachoishi kimetengenezwa na nn, ili kiweze kuishi,

Ukienda kwenye organization utaona kitu cha mwisho kuunda kiumbe yoyote ni seli ambayo inamfanya kiumbe hicho chochote kiishi, then ukienda kibaologia whats the functional unit of Cell then inakuwa DNA.

Wanasayansi hawaishii hapo, then DNA imeundwa na nn kumfanya mpaka atokee kiumbe hicho na kiweze kuishi then Protein(Amino Acid).

Curious mind inaenda deep whats the build up of Amino acid, then ni hizo chemicals nlizozielezea hapo juu.

So kwa upeo huo Wanasayansi wameshafanya hizi tafit maabara na kuweza kutengeneza Protein mpaka DNA ndan ya maabara (Synthetic Protein and DNA or Genes).

Kama ilivyo kwenye Natural process, licha ya kuwa na Synthesized DNA na all required conditions , swala linalohitajika ni muda ili Evolution process ifanye kazi yake ambayo ni more than Billions years ambayo Life span yetu ni very short kuweza ku'observe hilo.

The good news ni kwamba wanasayansi hawatengenezi DNA kwa ajili ya kuvumbua kiumbe kipya bali katika kutibu magonjwa ya binadamu hususan ya kurithi (Genetics diseases) kama ilivyokuwa Albinism, Breast cancer na kadhali kwenye technique mojawapo inayoitwa Gene editing.
 
Umeniwahi kuuliza swali hili,yani hivyo ndio vitengeneze mtu? Sijawahi kushawishika
Hautaweza kushawishika kama utaingia na Closed mind,
na lengo hapa upate upembuz ya kisayansi nje ya box,

Swala la kukubali au kutokukubali ni personal issue ingawa Ukweli hautabadilika despite the personal feelings!
 
Kati ya maswali ambayo ni magumu kuyajibu ukiiulizwa hili ni mojawapo, maisha yalianzaje duniani mpaka kuweza kutokea kwa aina mbali mbali ya viumbe ikiwemo na binadamu, (diversity if Life).

From Scientific Angle, haya ni maswali ambayo yameweza kufanyiwa utafiti na kupelekea kupatiwa majibu katika theorized form, hopefully huko mbeleni baadhi pia wanaweza kuja na more strong evidence katika ku'support hizi Origin of Life theory!

So tuanze na swali, kiumbe yeyote ambaye anaishi Biologically na Chemically ametengenezwa na nn!!!?
Simple answer ni DNA,
Tukienda deep zaid whats the Chief constituent of DNA ni Protein (Amino acid)
Swali la msingi linakuja whats the building block of Amino acid ni mchanyato wa Carbon, Hydrogen, Oxygen, Nitrogen na other elements kwa kiwango kidogo kama Phosphorus na Sulphur.
(Hizi ndo chemicals ambazo zimetengeneza Animal and Plant bodies)

Kwa maana nyingine Life ilianzia kwenye supu ya elements mbali mbali ambapo ziliweza kuuanganika katika mazingira yaliyokuwa sahihi (desirable conditions) na kuweza kutengeneza simple amino acid (Protein) then DNA ambapo ndio building block of Life.

So next ukisikia scientists wanaongelea wanatafuta evidence of life katika Exo Planets (Sayari za mbali kama Mars!) haimaanishi wanatafuta exactly viumbe, bali wanatafuta elements au chemicals ambazo ni building blocks of life kama hizo ambazo nimezieleza hapo juu, Ziweze ku'suggest either life existed or it might exist in future.

Wanasayansi wameweza kuunganisha hizo elements kimaabara na kutengeneza amino acid ambayo ni Building Blocks of life, so wanaamini kwamba ili kuweze kuwa na possibility of life lazima hizo chemicals ziwe around in favourable condition
so kama Out of Nothing, life iliweza kutokea dunian so may be it can emerge as well in other distant planets provided that the conditions are Right.

So viumbe wote tunaoishi (wanyama na mimea) tunatengenezwa na the same building block of life of chemicals, zinazopatikana katika Cosmological Dust ambazo zipo katika maeneo mbalimbali katika ulimwengu (universe).

Na mara nyingine katika research ya Vimondo (mateorites) zinadondoka hapa duniani kutokea sayari za mbali pia zina'suggest kuwepo kwa hizo building blocks of life, ndio maana baadhi ya wanakuja na possibility kwamba inawezekana hii life ya hapa duniani, imeletwa kutoka exo planets za mbali kuja kuanzisha life hapa duniani.

Kwa kifupi ningeweza kusema kutokea kwa Life duniani ni probability za kisayansi zilizopelekea Mazingira yalikuwa sahihi na hivyo Life kutokea,

So from the same note there is possibility of life elsewhere if the probable condition is Right kama ya hapa duniani (Earth like planet).
Kitu cha msingi ni kuwa Open minded hopefully, newly launched James Webb Space Telescope itakuja na interesting data zinazoweza ku'suggest existance of Life ktk distant planets!

Share your curiosity ideas!
Karibuni...!
Inaaminaka kwamba kuna planets zingine kibao zina viumbe/watu wanaishi. Cha muhimu tusilazimishe kwamba hali za hewa ya hizo planets lazima zifanane na kwetu
Kuna watu wailoumbwa kufanana na hali ya hewa za huko
Ukitafakari mfano wa Yesu wa kupotelewa na shilingi moja kati ya mia, pia kupotelewa na kondoo mmoja kati ya mia na akaacha wale wengine 99 na kuja kumtafuta mmoja aliyepotea, unagundua kuwa wapo viumbe/planet zingine na hawakupotea
 
Pengine ili mjadala uweze kunoga zaidi ungejaribu pia kuangazia swali hili: maisha/uhai hasa ni nini? Ni muunganiko tu wa Amino acids, Carbon na hizo elementi zingine zinazojenga uhai au kuna cha ziada? Kwa maana nyingine, tukikupa hizo elements zote na mazingira sahihi yanayofaa kwa uhai kuwepo, unaweza "kuzikoroga" na kuzichanganya mpaka siku moja vu bin vu uhai ukaanza kama wanavyodai wanasayansi?

Nitarudi
swali zuri sana mkuu
 
Hizo zote ni mbwembwe za binadamu wasiotaka kukubali kua dunia na vyote viijazavyo vimeumbwa na Mungu.Mavitu yote unayoyaona na kuyasikia jua yametengenezwa na Mungu.Kinachotupa maswali ni kuhusu chanzo cha huyo Mungu,lakini jibu ni rahisi tu kua,viumbe vyote hai vilivyotengenezwa vilikua programmed ndo maana kuna mambo yanayojiendesha yenyewe ndani ya hivyo viumbe na hata uwezo wakufikiri na kutenda una mipaka yake.Kwahiyo ata swala lakujua chanzo cha Mungu ni ngumu kwasababu hatukutengenezwa kujua aliyetutengeneza katokea wapi.kwahiyo tutaangaika na vilivyoko tayari bila kujua vilianzaje kuwepo na aliyevifanya viwepo yeye alianzaje kuwepo.Tofauti na hapo ni porojo tu za binadamu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kati ya maswali ambayo ni magumu kuyajibu ukiiulizwa hili ni mojawapo, maisha yalianzaje duniani mpaka kuweza kutokea kwa aina mbali mbali ya viumbe ikiwemo na binadamu, (diversity if Life).

From Scientific Angle, haya ni maswali ambayo yameweza kufanyiwa utafiti na kupelekea kupatiwa majibu katika theorized form, hopefully huko mbeleni baadhi pia wanaweza kuja na more strong evidence katika ku'support hizi Origin of Life theory!

So tuanze na swali, kiumbe yeyote ambaye anaishi Biologically na Chemically ametengenezwa na nn!!!?
Simple answer ni DNA,
Tukienda deep zaid whats the Chief constituent of DNA ni Protein (Amino acid)
Swali la msingi linakuja whats the building block of Amino acid ni mchanyato wa Carbon, Hydrogen, Oxygen, Nitrogen na other elements kwa kiwango kidogo kama Phosphorus na Sulphur.
(Hizi ndo chemicals ambazo zimetengeneza Animal and Plant bodies)

Kwa maana nyingine Life ilianzia kwenye supu ya elements mbali mbali ambapo ziliweza kuuanganika katika mazingira yaliyokuwa sahihi (desirable conditions) na kuweza kutengeneza simple amino acid (Protein) then DNA ambapo ndio building block of Life.

So next ukisikia scientists wanaongelea wanatafuta evidence of life katika Exo Planets (Sayari za mbali kama Mars!) haimaanishi wanatafuta exactly viumbe, bali wanatafuta elements au chemicals ambazo ni building blocks of life kama hizo ambazo nimezieleza hapo juu, Ziweze ku'suggest either life existed or it might exist in future.

Wanasayansi wameweza kuunganisha hizo elements kimaabara na kutengeneza amino acid ambayo ni Building Blocks of life, so wanaamini kwamba ili kuweze kuwa na possibility of life lazima hizo chemicals ziwe around in favourable condition
so kama Out of Nothing, life iliweza kutokea dunian so may be it can emerge as well in other distant planets provided that the conditions are Right.

So viumbe wote tunaoishi (wanyama na mimea) tunatengenezwa na the same building block of life of chemicals, zinazopatikana katika Cosmological Dust ambazo zipo katika maeneo mbalimbali katika ulimwengu (universe).

Na mara nyingine katika research ya Vimondo (mateorites) zinadondoka hapa duniani kutokea sayari za mbali pia zina'suggest kuwepo kwa hizo building blocks of life, ndio maana baadhi ya wanakuja na possibility kwamba inawezekana hii life ya hapa duniani, imeletwa kutoka exo planets za mbali kuja kuanzisha life hapa duniani.

Kwa kifupi ningeweza kusema kutokea kwa Life duniani ni probability za kisayansi zilizopelekea Mazingira yalikuwa sahihi na hivyo Life kutokea,

So from the same note there is possibility of life elsewhere if the probable condition is Right kama ya hapa duniani (Earth like planet).
Kitu cha msingi ni kuwa Open minded hopefully, newly launched James Webb Space Telescope itakuja na interesting data zinazoweza ku'suggest existance of Life ktk distant planets!

Share your curiosity ideas!
Karibuni...!
Mwanzo mzuri..
Nimejikuta navutiwa na hii mada mkuu jibu langu kubwa nitakalotoa hapa ni kuwa we have missed some natural laws!.
Namaanisha katika kupata majibu yetu ya uhakika kuhusu kitu chochote lazima tuwe na kakitu ka kuanzia,kuhusu uhai bado tumekuwa na hatihati juu ya chanzo husika naweza sema sheria za kiulimwengu kuhusu uhai ni aidha hatujaziditect ama zipo mbali nasi!.

Tunaweza kugundua uhai mwengine tofauti na hapa duniani na aidha unaweza ukawa tofauti na sisi ama ukawa Kama sisi!.. haya yote yanaweza kuwa majibu sahihi lakini hata tukigundua inaweza isilete majibu ya chanzo cha uhai!.

Bado tunasafari ndefu katika kuufukunyua ulimwengu ili tupate majibu sahihi lakini mimi nitaendelea kukazia kuwa tunahitaji kuzijua sheria za ulimwengu zaidi huko ndio kuna siri zote!.
Usikute sisi ni chembechembe tu katika ukubwa huu tunaojiona na ktk uchembe huu kazi yetu(umaana wetu) ktk ulimwengu ni kama tone moja la maji!. Nachoshukuru tunaakili ya kiu!,akili ya kutaka kujua chanzo cha haya yote akili ya kutaka kujua nyuma ya pazia na sijui kwanini chanzo cha uhai wetu hatukijui mpk sasa!.

Ipo hivi mkuu unaweza kuta tunauliza maswali ambayo ni wrong questions!!. Have you ever think about it..?
Usikute binadamu tunauliza maswali ambayo hatutakiwi kuuliza hiyo ni kwasababu hatuzijui laws zote za ulimwengu!.

Kuhusu Mungu kuwa chanzo cha uhai binafsi sijui lakini naitambua nadharia ya Umungu kwa vile inavyosemwa na kuandikwa na kwa kufikiria mwenyewe!.. swala linaloleta utata kuhusu Mungu ni chanzo chake kutofahamika n.k
Kwa wale wanaopinga sayansi huwa nawaona Kama malimbukeni kwani sayansi bado haijawahi sema kuwa Mungu yupo au hayupo kwa maana Kama ingekuwa na hayo majibu basi hata tafiti za uhai wangekuwa wameshaleta na kufahamika kinagaubaga lakini kila siku ndio wanazidi kufanya tafiti.

What do I think about life..?
Kama ilivyogota sayansi na mimi hivyohivyo sina majibu ya hilo,ila nadharia zangu bado zinaenda kugota kulekule kulipogotea fikra za wengi ambapo imekuwa kama kiza japo sifikirii sana kuwa chanzo chetu kinaweza kuwa ni Mungu Kama anavyofikiriwa!.
Mimi nimekategolize Mungu kuwa kinaweza kuwa chochote chenye sifa hizi mbili kuu Ufahamu na Nguvu!.
Mungu anaweza kuwa haongei,hajari kuhusu mienendo yetu ila sisi tunajishuku tu!(Ufahamu ndo sheria ya kutuongoza ukiyumba hapo basi umeharibu kila kitu),Mungu yaweza kuwa ni system inayo coordinate vitu vyote hivi ktk kanuni zake na uweza wake n.k

Wakuu jibu la maswali yaliyotushinda tutayapata kwa kuufukunyua ulimwengu na kujua sheria zake kiundani.. we have to answer this question, how it works..?
Hatuna majibu kwasababu hatujamaliza kuyajua.

Kitaendelea kuumana kila siku..😂
 
Yeaa nalo ni swali zuri, tunapoongelea uhai/maisha tunaongelea Biological species anayeishi,

Kwenye Biology kuna kitu kinaitwa functional unit kwa maana hicho kitu chochote hususani kinachoishi kimetengenezwa na nn, ili kiweze kuishi,

Ukienda kwenye organization utaona kitu cha mwisho kuunda kiumbe yoyote ni seli ambayo inamfanya kiumbe hicho chochote kiishi, then ukienda kibaologia whats the functional unit of Cell then inakuwa DNA.

Wanasayansi hawaishii hapo, then DNA imeundwa na nn kumfanya mpaka atokee kiumbe hicho na kiweze kuishi then Protein(Amino Acid).

Curious mind inaenda deep whats the build up of Amino acid, then ni hizo chemicals nlizozielezea hapo juu.

So kwa upeo huo Wanasayansi wameshafanya hizi tafit maabara na kuweza kutengeneza Protein mpaka DNA ndan ya maabara (Synthetic Protein and DNA or Genes).

Kama ilivyo kwenye Natural process, licha ya kuwa na Synthesized DNA na all required conditions , swala linalohitajika ni muda ili Evolution process ifanye kazi yake ambayo ni more than Billions years ambayo Life span yetu ni very short kuweza ku'observe hilo.

The good news ni kwamba wanasayansi hawatengenezi DNA kwa ajili ya kuvumbua kiumbe kipya bali katika kutibu magonjwa ya binadamu hususan ya kurithi (Genetics diseases) kama ilivyokuwa Albinism, Breast cancer na kadhali kwenye technique mojawapo inayoitwa Gene editing.
Nilijua kuwa utajificha kwenye evolution. Na kwa vile inachukua billions of years na hatuwezi ku-observe, bado ni sayansi au ni imani tu?

Kwamba kemikali hizi zilichanganyika kwenye bahari zikasukwa sukwa huko kwa mabilioni ya miaka na siku moja isiyo na jina boom uhai ukaanza na kakiumbe ka seli moja. Amaizing!
 
Chanzo cha uhai ni nini? DNA ipo tu binadamu/mnyama akiwa hai au amekufa.
 
Pengine ili mjadala uweze kunoga zaidi ungejaribu pia kuangazia swali hili: maisha/uhai hasa ni nini? Ni muunganiko tu wa Amino acids, Carbon na hizo elementi zingine zinazojenga uhai au kuna cha ziada? Kwa maana nyingine, tukikupa hizo elements zote na mazingira sahihi yanayofaa kwa uhai kuwepo, unaweza "kuzikoroga" na kuzichanganya mpaka siku moja vu bin vu uhai ukaanza kama wanavyodai wanasayansi?

Nitarudi
Swali la msingi sana ambalo Sayansi haijaweza kulijibu.
Swali jingine ni conscious ilikujaje kwa binadamu.
 
Inaaminaka kwamba kuna planets zingine kibao zina viumbe/watu wanaishi. Cha muhimu tusilazimishe kwamba hali za hewa ya hizo planets lazima zifanane na kwetu
Kuna watu wailoumbwa kufanana na hali ya hewa za huko
Ukitafakari mfano wa Yesu wa kupotelewa na shilingi moja kati ya mia, pia kupotelewa na kondoo mmoja kati ya mia na akaacha wale wengine 99 na kuja kumtafuta mmoja aliyepotea, unagundua kuwa wapo viumbe/planet zingine na hawakupotea
Mkuu sijakupata vyema, hebu fafanua hoja yako vzur uweze kujibiwa, naona kama mkanganyiko ulichokieleza chief
 
Hizo zote ni mbwembwe za binadamu wasiotaka kukubali kua dunia na vyote viijazavyo vimeumbwa na Mungu.Mavitu yote unayoyaona na kuyasikia jua yametengenezwa na Mungu.Kinachotupa maswali ni kuhusu chanzo cha huyo Mungu,lakini jibu ni rahisi tu kua,viumbe vyote hai vilivyotengenezwa vilikua programmed ndo maana kuna mambo yanayojiendesha yenyewe ndani ya hivyo viumbe na hata uwezo wakufikiri na kutenda una mipaka yake.Kwahiyo ata swala lakujua chanzo cha Mungu ni ngumu kwasababu hatukutengenezwa kujua aliyetutengeneza katokea wapi.kwahiyo tutaangaika na vilivyoko tayari bila kujua vilianzaje kuwepo na aliyevifanya viwepo yeye alianzaje kuwepo.Tofauti na hapo ni porojo tu za binadamu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Chief hapa imeongelewa sayansi sio maswala ya kiimani, sasa ukianza kuchanganya mada kadri ya upeo wako, hautaweza kuelewa mada hii!

Toa hoja za kisayansi! Tukiongelea swala la kiimani vile vile tutamshangaa mtu anayeleta hoja za kisayansi!
So lazima u'deal na muktadha uliopo wakati huo kwenye kupembua fikra na upeo!
 
Mwanzo mzuri..
Nimejikuta navutiwa na hii mada mkuu jibu langu kubwa nitakalotoa hapa ni kuwa we have missed some natural laws!.
Namaanisha katika kupata majibu yetu ya uhakika kuhusu kitu chochote lazima tuwe na kakitu ka kuanzia,kuhusu uhai bado tumekuwa na hatihati juu ya chanzo husika naweza sema sheria za kiulimwengu kuhusu uhai ni aidha hatujaziditect ama zipo mbali nasi!.

Tunaweza kugundua uhai mwengine tofauti na hapa duniani na aidha unaweza ukawa tofauti na sisi ama ukawa Kama sisi!.. haya yote yanaweza kuwa majibu sahihi lakini hata tukigundua inaweza isilete majibu ya chanzo cha uhai!.

Bado tunasafari ndefu katika kuufukunyua ulimwengu ili tupate majibu sahihi lakini mimi nitaendelea kukazia kuwa tunahitaji kuzijua sheria za ulimwengu zaidi huko ndio kuna siri zote!.
Usikute sisi ni chembechembe tu katika ukubwa huu tunaojiona na ktk uchembe huu kazi yetu(umaana wetu) ktk ulimwengu ni kama tone moja la maji!. Nachoshukuru tunaakili ya kiu!,akili ya kutaka kujua chanzo cha haya yote akili ya kutaka kujua nyuma ya pazia na sijui kwanini chanzo cha uhai wetu hatukijui mpk sasa!.

Ipo hivi mkuu unaweza kuta tunauliza maswali ambayo ni wrong questions!!. Have you ever think about it..?
Usikute binadamu tunauliza maswali ambayo hatutakiwi kuuliza hiyo ni kwasababu hatuzijui laws zote za ulimwengu!.

Kuhusu Mungu kuwa chanzo cha uhai binafsi sijui lakini naitambua nadharia ya Umungu kwa vile inavyosemwa na kuandikwa na kwa kufikiria mwenyewe!.. swala linaloleta utata kuhusu Mungu ni chanzo chake kutofahamika n.k
Kwa wale wanaopinga sayansi huwa nawaona Kama malimbukeni kwani sayansi bado haijawahi sema kuwa Mungu yupo au hayupo kwa maana Kama ingekuwa na hayo majibu basi hata tafiti za uhai wangekuwa wameshaleta na kufahamika kinagaubaga lakini kila siku ndio wanazidi kufanya tafiti.

What do I think about life..?
Kama ilivyogota sayansi na mimi hivyohivyo sina majibu ya hilo,ila nadharia zangu bado zinaenda kugota kulekule kulipogotea fikra za wengi ambapo imekuwa kama kiza japo sifikirii sana kuwa chanzo chetu kinaweza kuwa ni Mungu Kama anavyofikiriwa!.
Mimi nimekategolize Mungu kuwa kinaweza kuwa chochote chenye sifa hizi mbili kuu Ufahamu na Nguvu!.
Mungu anaweza kuwa haongei,hajari kuhusu mienendo yetu ila sisi tunajishuku tu!(Ufahamu ndo sheria ya kutuongoza ukiyumba hapo basi umeharibu kila kitu),Mungu yaweza kuwa ni system inayo coordinate vitu vyote hivi ktk kanuni zake na uweza wake n.k

Wakuu jibu la maswali yaliyotushinda tutayapata kwa kuufukunyua ulimwengu na kujua sheria zake kiundani.. we have to answer this question, how it works..?
Hatuna majibu kwasababu hatujamaliza kuyajua.

Kitaendelea kuumana kila siku..
Ukiingia na Open Minded, utaweza kujifunza mengi,
umesema mengi mazur ya kujifunza na kupanua Ubongo.

Cha msingi kwa Sayansi ipo tayar kukosolewa pale evidence mpya na zilizoshiba zinapokuja na hivyo kuweza kubadilika na kuziondoa hoja za zaman zilikosa mashiko kwa wakati uliopo
 
Nilijua kuwa utajificha kwenye evolution. Na kwa vile inachukua billions of years na hatuwezi ku-observe, bado ni sayansi au ni imani tu?

Kwamba kemikali hizi zilichanganyika kwenye bahari zikasukwa sukwa huko kwa mabilioni ya miaka na siku moja isiyo na jina boom uhai ukaanza na kakiumbe ka seli moja. Amaizing!
Sio swala la kujificha ndo ukweli wa kisayansi, na natumain ulisoma Biology yako ilikuelezea hicho kitu na History ilikuelezea hiyo Evolution (Natural Selection), sasa kama unataka kupinga thats your personal conflict!

Labda tu nikudokeze kama ulikuwa haufaham hata kwenye Medical field yoyote ktk higher level of education, Evolution kwa namna yoyote haikwepeki kuelezewa!
Ndo Msingi mzima wa Anatomy na Physiology ya kiumbe chochote hususani ukitaka ku'relate Physiology ya Binadam na wanyama wengine!

Sasa kama evolution ni imani wakati kuna strong compelling evidence kusupport hilo,
kadri ulivyoipembua kwa upeo wako yakinifu, nadhan mfumo mzima wa Biology, Botany, Veterinary na Medical fields zifumuliwe,

Maana Evolution ndo mfumo unaotumika katika ku'relate different species either distant or closely related!
 
Back
Top Bottom