Erick Martie
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 301
- 338
- Thread starter
- #41
Nimeelezea vzur sana hapo juu mkuu,Chanzo cha uhai ni nini? DNA ipo tu binadamu/mnyama akiwa hai au amekufa.
Ingawa pia ili unielewe vyema lazima Biology yako iwe imeshiba kdg, then ukiunganisha na nlichokielezea hapo juu ukasoma na ukaelewa unaweza kunipata pata kias chake!