fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,109
- 19,993
Matunda yameshaanza kuonekana Ramla Said keshakamatwa kwa utakatishaji fedha kupitia ununuzi wa dhahabu through black market. Mumewe amejitoa katika sakata hili na wengi wa viongozi waliopigiwa simu za kisiri wamegoma kutoa msaada katika kumnasua.
Ila mpaka sasa amebadirishiwa mashtaka inavyoonesha tayari kuna mrungula umetolewa kulainisha case.
Wapo wazalendo wa kweli ila ni wachache
Ila mpaka sasa amebadirishiwa mashtaka inavyoonesha tayari kuna mrungula umetolewa kulainisha case.
Wapo wazalendo wa kweli ila ni wachache