Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 218
- 740
Ndugu wana JF,
Niliomba kuuliza Ordinary Diploma zinazotolewa Bugando za afya, zinakuwa chini ya NACTE, yaani namaanisha, wanakuwa na mtihani wa mwisho unaotoka Nacte kama vyuo vingine vya kati, mfano city college, Chato college.
Au chuo chenyewe ndo huwa kinatoa kipimo cha ufaulu kwa wanafunzi wake ngazi ya diploma labda kahitimu na GPA kiasi au huyu kapata sup.Asanteni
Niliomba kuuliza Ordinary Diploma zinazotolewa Bugando za afya, zinakuwa chini ya NACTE, yaani namaanisha, wanakuwa na mtihani wa mwisho unaotoka Nacte kama vyuo vingine vya kati, mfano city college, Chato college.
Au chuo chenyewe ndo huwa kinatoa kipimo cha ufaulu kwa wanafunzi wake ngazi ya diploma labda kahitimu na GPA kiasi au huyu kapata sup.Asanteni