Wewe tapeliAtakae kuwa tayari mwingne mnunuzi kabsa anicheki ili nimuaminishie ili awee na aman
Ya rangi gani mkuu?Mkuu mi nna huawei mate 9.. RAM GB 4 internal GB 64
nipe 600k tu nakuachia.. Bado mpya
Unaeza nicheki 0659337348
nasubiri mrejesho wakoMkuu mi nna huawei mate 9.. RAM GB 4 internal GB 64
nipe 600k tu nakuachia.. Bado mpya
Unaeza nicheki 0659337348
Hahaha nafurai sana kusikia hvyoo soma mm ni mwanamke ntajiandikaje mrs s kama sio mwanamke kaka angu ntakuwa siko timamu na pili usajili nikitambulisho cha mume wangu ambae ndio jina lake umeliona unalingine la kuniulizaHuyu mtu nina mashaka naye sana, SANA. Mchunguzeni vizuri anavyoongea kwenye thread nyingine inaonesha ni mwanaume, thread hii pia ameanza kuongea kama mwanaume...lakiini baadaye amebadilika anaongea kama mwanamke! ID anayotumia ni Mrs, kwa maana nimwanamke, then ukiangalia usajili wa namba aliyotoa hapa inaonesha ni mwanaume. Kuweni makini sana.
Unaelewa kwamba kutumia line iliyosajiliwa kwa jina lisilo lako ni kosa la JINAI?!Hahaha nafurai sana kusikia hvyoo soma mm ni mwanamke ntajiandikaje mrs s kama sio mwanamke kaka angu ntakuwa siko timamu na pili usajili nikitambulisho cha mume wangu ambae ndio jina lake umeliona unalingine la kuniuliza
Hivi bado umekomaa kutaka kuwaibia wananzengo?Hahaha nafurai sana kusikia hvyoo soma mm ni mwanamke ntajiandikaje mrs s kama sio mwanamke kaka angu ntakuwa siko timamu na pili usajili nikitambulisho cha mume wangu ambae ndio jina lake umeliona unalingine la kuniuliza
Si unaona uzi unavyotiririka!!!Watu hawakomi na kuna wajinga watatoa advance
SijalalaUjalala bado jogi jaman
Samsung J5 prime,32 Gb,yenye fingerprint ntapata kwa bei gani?Kaka sio wote tunaofanana mm binafs hii ndio biashara inayoniweka mjini na familia yangu inasonga mbele na jua lazma uwaze kudhulumiwa ila mm sipo hvyo kaka nadhamini sana uhaminifu sana maana kuna leo na kesho na biashara za mitandaon muheshimu sana anaekuamini na akaamua kufanya biashara nawewe ukidhulumu mwisho wa siku usongi mbele boss wangu naogopa sana dhuluma
Duh,imezidi hata bei ya sokoni hapa bongo!!!Shkamoo mkuu.Samsung J5 prime,32 Gb,yenye fingerprint ntapata kwa bei gani?
Kama wewe una mashaka na polisi kwanini mteja asiwe na mashaka na wewe?Hakuna shidaah ila tu police asiwee ni rafiki yako tu boss wangu