Mkuu kitendo cha kumwagia wasichana wa watu tindikali ndio tumejimaliza kabisa kitalii, wageni wengi hasa hasa wa kutoka Ulaya na Merikani si rahisi kutofautisha Zanzibar na Tanzania bara. Headlines ni - Watanzania wamemwagia tindikali visichana vidogo, katikati au mwishoni mwa habari ndio wanasema tukio lilitokea ni kisiwani Zanzibar!Wangekuja wengi sana lakini hawa mburula waliowamwagia tindikali wale wasichana waingereza wametuharibia kila kitu!!! Nchi sasa inaonekana sio salama kama zamani; amani imetowekai!!!
Thread kama hizi huwezi kuona wachangiaje wengi....
Wangekuja wengi sana lakini hawa mburula waliowamwagia tindikali wale wasichana waingereza wametuharibia kila kitu!!! Nchi sasa inaonekana sio salama kama zamani; amani imetowekai!!!