bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Mkuu kitendo cha kumwagia wasichana wa watu tindikali ndio tumejimaliza kabisa kitalii, wageni wengi hasa hasa wa kutoka Ulaya na Merikani si rahisi kutofautisha Zanzibar na Tanzania bara. Headlines ni - Watanzania wamemwagia tindikali visichana vidogo, katikati au mwishoni mwa habari ndio wanasema tukio lilitokea ni kisiwani Zanzibar!
Kwani wewe hujui kama kuna muungano sasa utatofautisheje Zanziba na Tanzania bara?