IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Pasco bana, unakuwa kama yule jamaa anayesema "Kwa Mbinde......."
Swali- Mzigo walipakua lakini?
Jibu- kwa mbinde, waulize wale vijana, mie ni SOJA.
Swali- Sasa ulipindishwa saba?
Jibu- kwa mbinde nimekuambia. Waliniinamisha nikasimama, mara ya pili-nikasimama, mara ya tatu, wakashindilia.
Zitto hapa mnampa ujiko kuwa kashindwa "KWA MBINDE."
Kwa nini kasubiri hadi Jaji Mziray kamtenda, na yeye ndiyo kuja kujifanya ANANG'ATUKA? Yale yale ya PM aliyeng'atuka.
Dah kweli kama una stress njoo JF! Mkuu nimecheka sana!