Operesheni Okoa Taifa Tanzania (Tanganyika)

Operesheni Okoa Taifa Tanzania (Tanganyika)

Hii ni Operesheni ya kuliokoa Taifa dhidi ya Wanasiasa ambao siku zote kazi yao ni kuwaza mambo kwa maslahi yao na familia zao.

Hii ni operesheni ya kuokoa rasilimali za Taifa ambazo zinagawiwa kwa wageni kwa mikataba isiyo na faida kwa Wananchi. Huku wachache wakijinufaisha binafsi na wananchi wengi wakibaki kwenye umasikini wa kutisha unaowafanya wakose huduma bora za msingi. (Elimu, Matibabu, Maji safi na salama, Miundombinu bora ya barabara pamoja na Umeme wa Uhakika)

Hii ni Operesheni na kuhakikisha utajiri wa Taifa unawanufaisha Watanzania wote na vizazi vyao na sio kikundi cha watu wachache waliojipa umuhimu kutokana na uwepo wa Katiba Mbovu inayowaweka Wanasiasa juu ya mifumo.

Hii ni operesheni ya kuangamiza mizizi ya rushwa iliyolifanya Taifa li collapse kwa muda mrefu sana.

Hii ni operesheni ambayo target yake ni kuipatia Nchi Katiba bora inayoipa nguvu mifumo dhidi wa Wanasiasa. Inayoweka nguvu kwa Wataalam na Utaalam wala sio siasa.

Mwisho hii ni Operesheni ya kuhakikisha tunakuwa na Taifa imara lenye maendeleo ya kweli kwa watu wake na sio linalotawaliwa na kikundi cha watu wachache wenye maslahi binafsi wanaoamua kipi kiwe na kipi kisiwe. Nani awe na nani asiwe.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu wabariki Meno na JW.

No Reforms No Election ✊️ ✌️
Mpaka irudi Tanganyika hii Tanzania ni inchi ya utumwa
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Hii ni Operesheni ya kuliokoa Taifa dhidi ya Wanasiasa ambao siku zote kazi yao ni kuwaza mambo kwa maslahi yao na familia zao.

Hii ni operesheni ya kuokoa rasilimali za Taifa ambazo zinagawiwa kwa wageni kwa mikataba isiyo na faida kwa Wananchi. Huku wachache wakijinufaisha binafsi na wananchi wengi wakibaki kwenye umasikini wa kutisha unaowafanya wakose huduma bora za msingi. (Elimu, Matibabu, Maji safi na salama, Miundombinu bora ya barabara pamoja na Umeme wa Uhakika)

Hii ni Operesheni na kuhakikisha utajiri wa Taifa unawanufaisha Watanzania wote na vizazi vyao na sio kikundi cha watu wachache waliojipa umuhimu kutokana na uwepo wa Katiba Mbovu inayowaweka Wanasiasa juu ya mifumo.

Hii ni operesheni ya kuangamiza mizizi ya rushwa iliyolifanya Taifa li collapse kwa muda mrefu sana.

Hii ni operesheni ambayo target yake ni kuipatia Nchi Katiba bora inayoipa nguvu mifumo dhidi wa Wanasiasa. Inayoweka nguvu kwa Wataalam na Utaalam wala sio siasa.

Mwisho hii ni Operesheni ya kuhakikisha tunakuwa na Taifa imara lenye maendeleo ya kweli kwa watu wake na sio linalotawaliwa na kikundi cha watu wachache wenye maslahi binafsi wanaoamua kipi kiwe na kipi kisiwe. Nani awe na nani asiwe.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu wabariki Meno na JW.

No Reforms No Election ✊️ ✌️
Asanteni sana JWTZ
 
Back
Top Bottom