bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Kwa nini wahutu wabaki halafu waondoke watusi tu?Tatizo ni pale oparesheni inapoendeshwa kwa kuangalia sura za watu. Kuna hakimu mkazi huko Kagera kapata kichapo kwa kuwa tu ana sura ya kitusi. Kwa utaratibu huu tutajikuta wahamiaji haramu hasa wenye asili ya kihutu wakiachwa bila kuguswa huku watanzania wenye asili ya kitusi wakiswagwa kwenda mahali wasipopafahamu. Zoezi linaendeshwa mechanically.