Operation UKUTA: Hit n run tactic

Operation UKUTA: Hit n run tactic

Subiri tarehe 1 mwezi wa 9 utawaona police wakiandamana kila mahali penye ofice za chadema nchini kote wakiwa na vifaa vyote vya kulipua maji ya washa bunduki kisa UKUTA
 
Subiri tarehe 1 mwezi wa 9 utawaona police wakiandamana kila mahali penye ofice za chadema nchini kote wakiwa na vifaa vyote vya kulipua maji ya washa bunduki kisa UKUTA
1471006766567.jpg
1471006770987.jpg
 
Duuuuu leo!
hapana hii hoja ni ya Msingi, mimi najua UKUTA kama maandamano na mikutano haviwezi kufanyika lakin Propaganda yao imefanikiwa maana kila mahali inajadiliwa haijalishi inajadiliwa vipi, iwe heri au kwa shari lkn wameanikiwa kwa kiasi kikubwa
 
Na kitendo cha police kutumia nguvu nyingi kisa UKUTA siku hiyo dunia nzima itaonyesha namna democrasia inavyominywa kwa vya upinzani
 
Kwenye uwanja wa vita kuna mbinu nyingi za kumshinda adui...ukiona adui yako analeta ubabe unabadili mbinu....hapa unaachana na ile ya piga nikupige
Vita ya mtaa kwa mtaa ndio vita ngumu zaidi kwakuwa hapa silaha nzito zile za kwenye uwanja wa vita hazitumiki tena.

Vita ya mtaa kwa mtaa ni vita inayohitaji werevu na mbinu makini..wengi hushindiwa hapa....Kwenye ulingi wa kisiasa nako kuna vita...Kuna vita ya
Sera, Propaganda, Vipaumbele, Kukosoana, Vita ya kumchosha mpinzani wako nk nk

DHIMA YA UKUTA

Dhima ya UKUTA ni kujijenga kisiasa, kujitangaza zaidi, kusikika zaidi na kumpoteza mpinzani
Ni neno lililoandaliwa kimitego, likiwa na utata fulani kwa tafsiri za kihuni, na mpinzani bila kujitambua akanasa kwenye huo mtego

Kwa kukosoa operation nzima na kukekeli neno UKUTA mpinzani hajui kuwa anasaidia kukitangaza chama buuuree...mkakati wa operation nzima umetolewa hadharani karibia miezi miwili kabla ya kufanyika..miezi miwili ni kipindi mkakati kisiasa kummaliza mpinzani

Sasa hivi ni UKUTA kila kona, mpinzani baada ya kufanya yake ni yeye na UKUTA kila uchao...Operation UKUTA imemlazimisha mpinzani akajinadi upya kwa wananchi kama yuko kwenye kampeni, mbinu ya kumchosha na kummaliza nguvu na kumpotezea muda

Operation UKUTA imevuta hisia za wengi na kuwaingiza wengi kwenye mjadala wakiwemo taasisi mbalimbali za serikali na NGOS tofauti
Sasa hivi mpinzani hasikiki tena, bali bila kujitambua amekuta anachezeshwa ngoma juani huku mwenzake akiwa pembeni kivulini kajaa vicheko

Operation UKUTA hata isipofanyika lakini kwenye medani za siasa na propaganda itakuwa imefanikiwa sana. ..
Mshana, kwahiyo T. r. h 01/09 hutuandamani?
 
mshana jr, tatizo siasa wanazoendesha upinzani si za kujenga. Hivi wewe unadhani kwa nini lowasa aliwaita chadema ni wanaharakati??? Hivi unadhani lowasa anafurahi hii hali??? Hivi lowasa unadhani anataka kushindana na rais??? Kama ulimsikiliza siku za karibuni alisema rais anafanya vizuri......, ila akina mbowe, lissu etc wao kila kukicha wanamtukana na kumdharau na kutaka kupambana na mamlaka ya rais, ilhali hawajui mamlaka yake, na ndiyo maana uadui umeongezeka kumbuka unapmtukana rais unatukana watanzania na vyombo vyake vyote
tofautisha kati ya presidency na president.
kama kinachosemwa na wapinzani mmekipachika jina la "matusi" basi "matusi" hayo yako aimed at only one of these, not both. you and I both know what it is...
 
Inawezekana kuwa imefanikiwa kujijenga ila kumbuka imepunguza imani ya jeshi la polisi/vyombo vya ulinzi kwa wapinzani. Ndiyo maana tundu lissu alisema mahabusu si pahala pazuri. Nyie mashabiki mtaona sawa ila viongozi wenu wanakipata cha moto.

Ndiyo mahabusu si pahala salama, lakini hukujutia kwenda huko na hajaapa kwamba hatakwenda tena huko. Alichowahi sema Lissu ni kuwa hatanyamazishwa awe gerezani au uraiani.
 
Kwenye uwanja wa vita kuna mbinu nyingi za kumshinda adui...ukiona adui yako analeta ubabe unabadili mbinu....hapa unaachana na ile ya piga nikupige
Vita ya mtaa kwa mtaa ndio vita ngumu zaidi kwakuwa hapa silaha nzito zile za kwenye uwanja wa vita hazitumiki tena.

Vita ya mtaa kwa mtaa ni vita inayohitaji werevu na mbinu makini..wengi hushindiwa hapa....Kwenye ulingi wa kisiasa nako kuna vita...Kuna vita ya
Sera, Propaganda, Vipaumbele, Kukosoana, Vita ya kumchosha mpinzani wako nk nk

DHIMA YA UKUTA

Dhima ya UKUTA ni kujijenga kisiasa, kujitangaza zaidi, kusikika zaidi na kumpoteza mpinzani
Ni neno lililoandaliwa kimitego, likiwa na utata fulani kwa tafsiri za kihuni, na mpinzani bila kujitambua akanasa kwenye huo mtego

Kwa kukosoa operation nzima na kukekeli neno UKUTA mpinzani hajui kuwa anasaidia kukitangaza chama buuuree...mkakati wa operation nzima umetolewa hadharani karibia miezi miwili kabla ya kufanyika..miezi miwili ni kipindi mkakati kisiasa kummaliza mpinzani

Sasa hivi ni UKUTA kila kona, mpinzani baada ya kufanya yake ni yeye na UKUTA kila uchao...Operation UKUTA imemlazimisha mpinzani akajinadi upya kwa wananchi kama yuko kwenye kampeni, mbinu ya kumchosha na kummaliza nguvu na kumpotezea muda

Operation UKUTA imevuta hisia za wengi na kuwaingiza wengi kwenye mjadala wakiwemo taasisi mbalimbali za serikali na NGOS tofauti
Sasa hivi mpinzani hasikiki tena, bali bila kujitambua amekuta anachezeshwa ngoma juani huku mwenzake akiwa pembeni kivulini kajaa vicheko

Operation UKUTA hata isipofanyika lakini kwenye medani za siasa na propaganda itakuwa imefanikiwa sana. ..
Katika Sanaa za martial arts hasa zile za kichina kuna mchezo unaitwa Tai Chi. Wakati wa mapigano dhidi ya mtaalam anayetumia style ya Tai Chi, hapo adui huwa anapigwa kwa kutumia mbinu na nguvu zake mwenyewe.
Ndicho ninachokiona katika hiki kitu kiitwacho UKUTA...nguvu na mabavu ya serikali ndiyo yanayotegemewa sana katika kufanikisha Malengo ya UKUTA.
 
mshana jr, tatizo siasa wanazoendesha upinzani si za kujenga. Hivi wewe unadhani kwa nini lowasa aliwaita chadema ni wanaharakati??? Hivi unadhani lowasa anafurahi hii hali??? Hivi lowasa unadhani anataka kushindana na rais??? Kama ulimsikiliza siku za karibuni alisema rais anafanya vizuri......, ila akina mbowe, lissu etc wao kila kukicha wanamtukana na kumdharau na kutaka kupambana na mamlaka ya rais, ilhali hawajui mamlaka yake, na ndiyo maana uadui umeongezeka kumbuka unapmtukana rais unatukana watanzania na vyombo vyake vyote

Elezea ni matusi gani katukanwa Rais na wengine tuweze kupima uwezo wa uelewa wa wapinzani.
 
mshana jr, tatizo siasa wanazoendesha upinzani si za kujenga. Hivi wewe unadhani kwa nini lowasa aliwaita chadema ni wanaharakati??? Hivi unadhani lowasa anafurahi hii hali??? Hivi lowasa unadhani anataka kushindana na rais??? Kama ulimsikiliza siku za karibuni alisema rais anafanya vizuri......, ila akina mbowe, lissu etc wao kila kukicha wanamtukana na kumdharau na kutaka kupambana na mamlaka ya rais, ilhali hawajui mamlaka yake, na ndiyo maana uadui umeongezeka kumbuka unapmtukana rais unatukana watanzania na vyombo vyake vyote
Mkuu ni tusi gani alilo tukanwa Magufuli?
 
Katika Sanaa za martial arts hasa zile za kichina kuna mchezo unaitwa Tai Chi. Wakati wa mapigano dhidi ya mtaalam anayetumia style ya Tai Chi, hapo adui huwa anapigwa kwa kutumia mbinu na nguvu zake mwenyewe.
Ndicho ninachokiona katika hiki kitu kiitwacho UKUTA...nguvu na mabavu ya serikali ndiyo yanayotegemewa sana katika kufanikisha Malengo ya UKUTA.
Very well said vital power/vital force
 
Hehehe mimi na mshana hua tuna bif akiongelea uchawi tu, lakini tukija kwenye siasa naunga mkono, umempa majibu mazuri sana huyo mtanzania bila fujo, ni ngumu kujizuia maana jf watu wanaboa sana, kila kitu wao ni matusi tu bila kutoa argument yoyote, mtu hataki kuelewa wala kusikiliza basi tu kwa kua ni mjinga kichwani.
 
Katika Sanaa za martial arts hasa zile za kichina kuna mchezo unaitwa Tai Chi. Wakati wa mapigano dhidi ya mtaalam anayetumia style ya Tai Chi, hapo adui huwa anapigwa kwa kutumia mbinu na nguvu zake mwenyewe.
Ndicho ninachokiona katika hiki kitu kiitwacho UKUTA...nguvu na mabavu ya serikali ndiyo yanayotegemewa sana katika kufanikisha Malengo ya UKUTA.
Mnafikiri sana lakini mwishowe mnaishia kupata ombwe la kisiasa!
 
Back
Top Bottom