Operation ng'oa Magufuli inakuja


Mkuu;
Katika ma GT nawe umo atii. Hivi nikuulize, hii serekali yetu ndiyo dhaifu kuliko zote duniani au?? Hivi, yawezekanaje, Serekali iunde mahakama ya kuwasulubu Mafisadi, serekali ina dola, serekali iseme haitamuacha salama hata fisadi mmoja tu, halafu ishindwe kumkamata fisadi anayekimbilia kujificha CDM?? Hii inaingiaje akilini?? CDM imekuwa ndiyo inawapa kinga kukamatwa?? Huenda kuna kitu tunafichwa au tunakijua ila tunafichana hapo. Halafu, hao wote wanatoka huko huko kwenye chama chetu. Naogopa kukupongeza. Fikiri kwanza
 
Ondoa kabisa tafrani hii.

Poleni watumishi huko Tz,nimepenyezewa mwezi hakuna increment tena.


Watumishi fanyeni jambo, hata indirectly la kuonesha ninyi ni waelewa pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndio shida ya kula mbazi wakati wa usiku unajamba jamba hovyo
 
Hiyo ndio shida ya kula mbazi wakati wa usiku unajamba jamba hovyo
 
Magufuli amewaludishia nn nyie mnao jiita wanyonge!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema kwa upotoshaji, mbona ile kauli iko wazi kuwa abaki katika misimamo, sio kukaa milele vichwa vya watu wa Chadema vinaipa tabu miguu
 
Umekula nn leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo yote ni tarehe 26 kudadekiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…