Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Wakazi wa Ruaha mjini leo wamefikiwa na Operation Imba Ukombozi inayofanywa na Idara ya sanaa chadema (makao makuu) Operation hii inaongozwa na mwana wa Cotide, George Mwingira na mratibu wao wa Idara Danny Raymond Madiba maarufu kama Nabii Madiba.
Mkutano utaanza saa Nane katika viwanja vya Ruaha Mjini.
Wakazi wa Ruaha wote mnakaribishwa
Mkutano utaanza saa Nane katika viwanja vya Ruaha Mjini.
Wakazi wa Ruaha wote mnakaribishwa