Open University warejesha foundation program

Open University warejesha foundation program

Ukiwa na NTA level 5 unakigezo cha kudahiliwa Foundation Program ya mwaka 1 ukifaulu ndio unaomba Chuo Kikuu. NTAlevel5 nafikiri inachukua miaka 2 baada ya F4 kwenye hizi College zetu.
Je mwenye cheti cha certificate anaruhusiwa kujiunga NTA 5 na akimaliza akafaulu vzuri anaruhusiwa kujiunga degree!??
 
Chuo Kikuu "Huria" cha Tanzania leo kimetangaza kurejeshwa kwa Foundation Program ambayo awali ilisimamishwa na serikali. Kwa hiyo njia nyingine ya kwenda vyuo vikuu imefunguliwa tena ingawapo dhana ya uhuria wa chuo kikuu hiki imepungua. Nasema imepungua kwani sasa vigezo vya udahili ni
1. Form 6 mwenye point 1.5 kwenye masomo mawili
2. Mwenye Diploma ya GPA 2 hadi 2.9
3. Mwenye Cheti cha NTA level 5/Professional Level II Certificate.
Hivyo mwenye certificate baada ya o-levels inabidi apate Diploma au NTA level 5 sio kama zamani ambapo certificate ilitosha.

Program ni mwaka 1 Gharama ni Tshs 630,000. Wahitimu wa program hii wanaruhusiwa kujiunga na chuo chochote nchini.

Kazi kwenu.
Na je wa certificate akishapata NTA level 5 chuoni kwenu,anaweza kwenda degree!??
 
Na je wa certificate akishapata NTA level 5 chuoni kwenu,anaweza kwenda degree!??
Mkuu mimi siko Open nilikuwa nawafahamisha tu wana JF fursa iliyojitokeza ya kuendelea na elimu. Ukiwa na NTA level 5 (kigezo kimoja wapo cha kudahiliwa OFC) ndiyo unaweza kufanya hiyo foundation program na ukifaulu milango ya chuo inafunguka.
Je mwenye cheti cha certificate anaruhusiwa kujiunga NTA 5 na akimaliza akafaulu vzuri anaruhusiwa kujiunga degree!??
Ukiwa na Basic Technician Certificate NTA 4 unafanya NTA 5 (Tech. Certificate) halafu ndiyo unajiunga na Foundation Program,
 
Mkuu mimi siko Open nilikuwa nawafahamisha tu wana JF fursa iliyojitokeza ya kuendelea na elimu. Ukiwa na NTA level 5 (kigezo kimoja wapo cha kudahiliwa OFC) ndiyo unaweza kufanya hiyo foundation program na ukifaulu milango ya chuo inafunguka.

Ukiwa na Basic Technician Certificate NTA 4 unafanya NTA 5 (Tech. Certificate) halafu ndiyo unajiunga na Foundation Program,
Anhaa..hapo naona kwa anaetokea certificate bado miaka miwili itamuhusu,sasa c bora apige NTA 5 na 6 ili aende degree
 
Aliyepata DEE(Physics, Chemistry na Mathematics) form six 2014 hili halimhusu?
Kwani mwaka huo mtu wa aina hiyo aliandikiwa division "0".

Hata cheti hakupata.
 
Back
Top Bottom