Sorry ndugu naomba nieleweshe je hii programe inamhusu aliyemaliza form six mwaka huu?kuna mdogo wangu alama za kujiunga chuo hazijatimiaBaada ya matokeo ya F6 kuwa hewani, issue ya Foundation Program ya Open University imejitokeza tena. Uzi huu una taarifa kamili kwa wale wanaohitaji kujua wanawezaje kufaidika na program hiyo.
Inamhusu, mwambie aombe.Sorry ndugu naomba nieleweshe je hii programe inamhusu aliyemaliza form six mwaka huu?kuna mdogo wangu alama za kujiunga chuo hazijatimia
Shukrani sanaInamhusu, mwambie aombe.
OUT wanadai hivyo, na mimi naamini inatakiwa iwe hivyo kwani vyuo vingine vimezuiwa kutoa foundation course, na TCU ndio wasimamizi wa mwisho kwenye hii na wamehusika kwenye kuipitisha hiyo program.Na akifaulu anaruhusiwa kusoma degree popote?
Kama GPA yako ya diploma haijakuwezesha kuingia degree inabidi usome Foundation ya mwaka mmojaSijaelewa hii kitu.yani unasoma miaka mitatu diploma halafu unaingia mwaka mmja kwenye hip program foundation.so unakuwa unasoma miaka minne kabla ya kuchukua degree au inakuwaje.
Sijaelewa nisaidieni
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza badala ya kusoma foundation ya mwaka mmoja akafanya mitihanii ya TCU, wanaita RPLKama GPA yako ya diploma haijakuwezesha kuingia degree inabidi usome Foundation ya mwaka mmoja
Ipo mkuu unataka link?Hii kitu ya foundation mbona haipo kwenye tovuti ya open university?
Itakuwa imefanyika!Daaah elimu ya tz bado ina vikwazo vingi cpingi kuwepo kwafoundation ila je tathimini ya kina imefanyika
leta link tuone, kuna sister angu anashida na hii kitu