Open Source Intelligence: Mkandarasi wa "Stigla Goji" ana walakini?

Open Source Intelligence: Mkandarasi wa "Stigla Goji" ana walakini?

lakini mi naona mngempatia nafasi huyu mzee naye afanye majaribio yake kwa muda huu wa miaka 5 kama wenzake walivyofanya majaribio yaliyotufikisha hapa tulipo.

#there's no hurry in africa
 
Kinyume na imani iliyozoeleka kuwa intelijensia ni suala linalofanywa na mashushushu pekee, au watu wa vyombo vya dola, baadhi ya nyanja katika taaluma hiyo zinaweza pia kufanywa na wasiojihusisha na taaluma hiyo per se. Including you, or anybody else, kwa mfano, kwa kutumia "open source intelligence" kwa kifupi OSINT.

So, tuna kampuni moja kutoka Misri ambayo imekabidhiwa jukumu la kujenga "Stigla Goji" mradi unaotajwa kuwa wa kihistoria na ambao Jiwe anaamini kuwa utakuwa moja ya legacies zake. Lakini je kampuni hiyo ni safi?

Fanya urafiki na Google, kisha weka jina la kampuni hiyo plus neno "corruption." Let me not pre-empt matokeo ya "open source intelligence" yako, ila tu naomba kuamsha tafakuri yako kuhusu findings za uchunguzi huo mdogo, especially iwapo suala hilo zima halitokuwa na athari kwa mradi huo wa kihistoria.
Nawaonea huruma wapiga zumari maana hawamjui Jiwe lakini atakapoondoka madarakani ndiyo watamjua undani wake na ndiye atakayekuwa mmoja wa marais tajiri Afrika. Mradi wa SGR kinachofanyika mle ni balaa vumilieni akitoka tu muone dili zilizofanyika
 
Nawaonea huruma wapiga zumari maana hawamjui Jiwe lakini atakapoondoka madarakani ndiyo watamjua undani wake na ndiye atakayekuwa mmoja wa marais tajiri Afrika. Mradi wa SGR kinachofanyika mle ni balaa vumilieni muone kinachofanyika
Kawadanganye MAFALA kama wewe, huyo unayem quote muanzisha mada, anajifanya kitengo mstaafu. Kuanzia kipindi cha kampeni 2015 walichungulia mpaka akaunti za nje ya nchi hawajaona kitu, wamejaribu kufukunyua kuona kama kuna ela zimefichwa mahali wamechemka, hawaoni kitu. Angetaka kuwapiga angewapiga miaka 20 aliyokuwa anakabidhiwa bilioni nyingi sana za barabara nchi nzima lakini WAPI?, Hizo ela unazodai anazipiga anaziwekaga wapi?,.. Uvunguni mwa kitanda. Angalia thread zinazoanzishwa nyingi sasa hivi zisivyo na kichwa wala miguu baada ya kukosa vitu vya maana vya kukosoa?,. Mkuu waweza kukuta wewe ndo unalishwa maneno ya vijiweni na hutakaa uweze ku prove unachokiongea maana hakuna uhalisia.
 
Wadanganyika ni watu wa kuhurumiwa sana,kuna mtu kaamua kuwaswaga badala ya kuowaongoza na wao wamekubali na kibaya zaidi, anakowapitisha wao hata hawatazami.

Bwana huyo kwa sasa kaamua kuelekeza "noti" nyingi kwenye sekta moja sekta ambayo ina-facilitate tu shughuli za maendeleo ili kukuza uchumi huku sekta ambazo zinatakiwa zi-take advantage ya sekta hiyo moja inayopewa kipaumbele kukuza uchumi, zikiwa zinaporomoka kwa kasi na bado wadanganyika waanaamini mtu atawafikisha mbali.

Mwisho wa siku ataawachia structures zenye kupendeza na kuvutia machoni lakini wao wakiwa hoi bin taabani kimaisha/kiuchumi huku wasio na ajira wakiongezeka na mambo mengine mengi ama yakiwa yamedorora au kukwama kabisa.

Tutasonga mbele kwa fikra na vipaumbele vya mtu mmoja na hii iko dunia nzima!!!!!

Zidumu fikra za mwenyekiti!!
Alafu inasemekana hiyo kampuni eti haijawahi kujenga hata shimo la chemba.
 
Kachero mzoefu kuna kampuni safi isiyo na rushwa hapa duniani?? Kwenye ulimwengu huu wa ubepari uliokamaa (imperialism) utakosa kampuni yenye kashfa ya rushwa?? Kikubwa mradi ukamilike kwenye viwango na mda uliopangwa.
 
Kawadanganye MAFALA kama wewe, huyo unayem quote muanzisha mada, anajifanya kitengo mstaafu. Kuanzia kipindi cha kampeni 2015 walichungulia mpaka akaunti za nje ya nchi hawajaona kitu, wamejaribu kufukunyua kuona kama kuna ela zimefichwa mahali wamechemka, hawaoni kitu. Angetaka kuwapiga angewapiga miaka 20 aliyokuwa anakabidhiwa bilioni nyingi sana za barabara nchi nzima lakini WAPI?, Hizo ela unazodai anazipiga anaziwekaga wapi?,.. Uvunguni mwa kitanda. Angalia thread zinazoanzishwa nyingi sasa hivi zisivyo na kichwa wala miguu baada ya kukosa vitu vya maana vya kukosoa?,. Mkuu waweza kukuta wewe ndo unalishwa maneno ya vijiweni na hutakaa uweze ku prove unachokiongea maana hakuna uhalisia.

Nimewashauri wengi tu humu waachane na mzushi Evarist Chahali lakini bado tu wanamfuatafuata.
 
Kinyume na imani iliyozoeleka kuwa intelijensia ni suala linalofanywa na mashushushu pekee, au watu wa vyombo vya dola, baadhi ya nyanja katika taaluma hiyo zinaweza pia kufanywa na wasiojihusisha na taaluma hiyo per se. Including you, or anybody else, kwa mfano, kwa kutumia "open source intelligence" kwa kifupi OSINT.

So, tuna kampuni moja kutoka Misri ambayo imekabidhiwa jukumu la kujenga "Stigla Goji" mradi unaotajwa kuwa wa kihistoria na ambao Jiwe anaamini kuwa utakuwa moja ya legacies zake. Lakini je kampuni hiyo ni safi?

Fanya urafiki na Google, kisha weka jina la kampuni hiyo plus neno "corruption." Let me not pre-empt matokeo ya "open source intelligence" yako, ila tu naomba kuamsha tafakuri yako kuhusu findings za uchunguzi huo mdogo, especially iwapo suala hilo zima halitokuwa na athari kwa mradi huo wa kihistoria.
Wewe mchawi. Ngoja niwaambie MODs wakuweke kwenye barafu
 
Wadanganyika ni watu wa kuhurumiwa sana,kuna mtu kaamua kuwaswaga badala ya kuowaongoza, na wao wamekubali na kibaya zaidi, anakowapitisha wao hata hawatazami.

Bwana huyo kwa sasa kaamua kuelekeza "noti" nyingi kwenye sekta moja sekta ambayo ina-facilitate tu shughuli za maendeleo ili kukuza uchumi huku sekta ambazo zinatakiwa zi-take advantage ya sekta hiyo moja inayopewa kipaumbele kukuza uchumi, zikiwa zinaporomoka kwa kasi na bado wadanganyika waanaamini mtu atawafikisha mbali.So sad!

Mwisho wa siku, ataawachia structures zenye kupendeza na kuvutia machoni, lakini wao wakiwa hoi bin taabani kimaisha/kiuchumi huku wasio na ajira wakiongezeka, na mambo mengine mengi ama yakiwa yamedorora au kukwama kabisa.

Tutasonga mbele kwa fikra na vipaumbele vya mtu mmoja na hii iko dunia nzima!!!!!

Zidumu fikra za mwenyekiti!!
MoDs put this creature in ice
 
Wadanganyika ni watu wa kuhurumiwa sana,kuna mtu kaamua kuwaswaga badala ya kuowaongoza, na wao wamekubali na kibaya zaidi, anakowapitisha wao hata hawatazami.

Bwana huyo kwa sasa kaamua kuelekeza "noti" nyingi kwenye sekta moja sekta ambayo ina-facilitate tu shughuli za maendeleo ili kukuza uchumi huku sekta ambazo zinatakiwa zi-take advantage ya sekta hiyo moja inayopewa kipaumbele kukuza uchumi, zikiwa zinaporomoka kwa kasi na bado wadanganyika waanaamini mtu atawafikisha mbali.So sad!

Mwisho wa siku, ataawachia structures zenye kupendeza na kuvutia machoni, lakini wao wakiwa hoi bin taabani kimaisha/kiuchumi huku wasio na ajira wakiongezeka, na mambo mengine mengi ama yakiwa yamedorora au kukwama kabisa.

Tutasonga mbele kwa fikra na vipaumbele vya mtu mmoja na hii iko dunia nzima!!!!!

Zidumu fikra za mwenyekiti!!
Wewe umekuja na mada mpya.
Mjitahidi kubaki kwenye mada Kuu, Kama una maoni au mchango changia kulingana na mada.

Sasa Chahali kaja na mada wewe hata kufanya OSINT umeshindwa unaleta mada Yako mpya.

Duh Kama #dawainaingia kwa stahili hii kweli Kazi ipo, ngoja tuendelee kutizama angani tuone Airbus zinapopita
 
Ngoja nichangie huu uzi ili siku mambo yakiaribika basi tuseme tuliwambiaga maana JF bwana jambo linaweza kuletwa hapa kama mzaa ila baada ya miaka miwili au mmoja inakuwa kweli

Ngoja tusubilie.
 
Tuache tunaimba pambio tu wakati huu. Hayo mambo mengine ya ufisadi yatagundulika baadaye akija rais mpya
 
Back
Top Bottom