duuuh heri umerudi twin maana huwa nahusishwa sana na wewe humu
Ati...???
ukweli mtupu nimeogopa hata kuwekea maelezo cause siwezi kuiangalia
nice to meet u
mimi hata sijawai kukuona tena i just choose the name!
kweli hata sikujua hata sikuwai kukuona humu..ungeniambia mapema bwana nisingelitumia! sijui itakuwaje now !eheheeeeLikewise....
Mi nilikuona kitambo kidogo wakati ndio umeingia! Na ku notice umeniibia jina....:biggrin:
But sikuona kama ni issue sana! Though I knew kuna watu itawachanganya sana.....
And now itawachanganya zaidi..........