FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
- Thread starter
- #21
Jeuri na Usikivu unapungua
si kweli zaidi nyie mkituweka ndani mnaona kama ni chombo cha kawaida na kuanza kutafuta back up!
Jeuri na Usikivu unapungua
Ukitaka kujua utamu wa ngoma uingie ucheze. Acha woga, karibu kundini ukomae.
Wanaume tubadilike? FYI Mabadiliko ya wanawake ndio yanachangia haya kutokea..
Kabla hujaolewa unajituma
Ukishaolewa unajisahau.
Sisi tufanyeje na wakati huduma mantashau tunaitaka?
Ukitaka kujua utamu wa ngoma uingie ucheze. Acha woga, karibu kundini ukomae.
Wanaume tubadilike? FYI Mabadiliko ya wanawake ndio yanachangia haya kutokea..
Kabla hujaolewa unajituma
Ukishaolewa unajisahau.
Sisi tufanyeje na wakati huduma mantashau tunaitaka?
hiyo blue hiyo.........FL1 dada yangu nikionaga hivi nafikiria mara mbilimbili kama maisha ya ndoa ndo hivi yalivyo. najitunza kwa ajili ya mume wangu yeye anatoka nje kama huyo jamaa aliyekufa.
MBADILIKE WANAUME
Ni tukio la kweli ambalo limetokea Juzi hapa nilipo kwa
Kijana mmoja kapoteza maisha kisa penzi ka barmaid
Kijana mwenyewe ana umri kati ya miaka 28 -30 hivi kachomwa kisu bar na kupoteza maisha katika kumgombea Mhudumu
Kijana huyu ameacha mke ana 25 yrs old na mtoto mdogo bado ananyonya- Too sad
Mke analia kwa uchungu na kuuliza maswali yanayouumiza kwa kila mwenye kuyasikia
Mme wangu kweli umekufa unagombea mhudumu wa Bar kwani mie nina kasoro gani jamani ni mapenzi gani nilikunyima ??
Hivi tuwafanyie nini jamani?
We acha tu hommie. Jana bi mkubwa alinifungia chumbani. Kaniletea chupa 2 za valuu lakini hata moja haikuisha. Raha kunywea kaunta huku ukiwaachia kina Eliza chenchi.hommie naona uko sober leo eeh!
Kwani kabla sijakuoa nilikuwa sioni mawowowo? Au vitovu sikuviona? Kama niliviona mbona sikuvihangaikia nikahangaika na wewe mpaka mbele ya mashahidi, wazazi, kasisi na wageni waalikwa mabibi na mabwana?Binamu tunajishau vip wakati nyie tamaa zenu za kimwili zinawasumbua ..ukiona kitop kitovu nje kwisha habari yako wowowo kubwa shingo haiachi kugeuka hahahahaha
Mkoloni kalipia service?uuuh let me breath yeah!
si kiivyo KakaJambazi ..mkeo yuko nyumbani amelala matokeo yake analetewa maiti sababu kuu ni ngono...mmh
Pale tunaposahau kwa nini msitukumbushe jamani sisi ni binadamu kama nyie
Hebu kakague nimeifanyia nini hii yuziful posti.mwanaume hata umbebe mgongoni akiamua kutoka atatoka tu
uwe mjeuri au mtiifu
kichwa maji au mnyenyekevu
mkitakaga hamshindwi
LAKINI: sikatai pia wanawake pia tunamchango wetu kwenye hili, hapa hamna kukwepa.....
uuuh let me breath yeah!
SABABU YA KUMFUATA BAR-MAID ALIKUWA NAYO ila kwavile ameshapumvika hatuna wa kutuambia ukweli ila MKEWE PIA ATAKUWA NI CHANZO CHA YEYE KWENDA NJE.
ILA JAMANI TUKUMBUKE KUWA BAR-MAID HANA TOFAUTI NA WANAWAKE WENGINE WOTE. HIYO NI KAZI TU KAMA KAMA NYINGINE HAIBADILISHI UBINADAMU WAKE.
Ndoa vina mambo mengi ila MKIWA NA YESU KWELI KWELI SIO UBABAISHAJI NDOA YENU ITAKUWA NA AMANI FURAHA DAIMA.
A very good answer!! Hakuna asiye kuwa na kasoro na kusahau ni katika hali ya ubinaadamu.
Hebu kakague nimeifanyia nini hii yuziful posti.
Hiyo blue: Sasa umeamini mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja?
Hiyo red: Nakugongea kapa kwa kinoname THENKSI
ha ha ha kweli hommie leo upo sober!!Sasa umeingia nyumbani unabweteka. Yale ulokuwa unanipa jumlajumla unanipa kwa mgao. tena baada ya usumbufu utafikiri nailipia PAYE
Kwa nini kina Eliza wasikamate mchuma? Stuka Binamu!
mwanaume hata umbebe mgongoni akiamua kutoka atatoka tu
uwe mjeuri au mtiifu
kichwa maji au mnyenyekevu
mkitakaga hamshindwi
LAKINI: sikatai pia wanawake pia tunamchango wetu kwenye hili, hapa hamna kukwepa.....