Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Last edited by a moderator:
Smh...
Teh teh teh....why? You no likey?
Me no likey :embarrassed:
Kweli "fundi" lakini kanisani?! Mengine ni ukosefu wa heshima na ustaarabu
G huwa nasoma mambo ambayo waumini wanapenda kuyafanya kanisani kisha kuyaweka mtandaoni nikachoka mwenyewe. Kama huyo hapo juu kuna mtu alikuwa anamrekodi halafu wameamua kuitundika mtandaoni. Sasa kwa mengi niliyoyasoma hiyo video hapo juu ni cha mtoto, labda kiama ndio kinakaribia.
MI labda sina macho au masikio, ni kitu gani kinaprove kwamba hapo ni kanisani?