Onyo: Usikubali kwenda mikoa hii. Mke usiruhusu mumeo aende. Mimi Tanga na Tabora siendi tena

ha ha ha..mkuu umechukua nafasi hii kutuma salamu kwa aziza? aisee..ulipoteza mpenzi wako mjini morogoro, ulipoteza mkanda wa kiuno..ungerudi ukamtafutie huko. wala si almas, wala si dhahabu.... ulipoteza penzi. kaka rudi morogoro kwa ajili ya aziza...

nmemkumbuka mareheme kabasele yampanya aka pepe kale na wimbo wake wa hidaya.
Mkuu huyo mtu nimeshamtafuta sana,nimerudi Moro zaid ya 4× ila si Kwa ajili lkn kila nikifika huwa najaribu kwenda kuulizia mazingira niliyomkuta na kama sikosei aliniambia dada yake alikuwa anafanya biashara kwenye soko kuu la mjini morogoro tatizo hata ofisi ya dada yake ilipo sikufanikiwa kupajua
 
Mambo ya usiende mkoa fulani niliyasikia zamani sana,nadhani tatizo ni hulka zako maana katika sehemu ulizozitaja karibu zote nimekaa anagalau kidogo sijaona tofauti na Mbeya au Katavi inategemea akili yako tu nimekaa sana Tanga na Tabora ukiamua kukausha unakausha ukiamua kujitia uchizi ni wewe tu mfano Tanga niliamua kua chizi tu ila sio kua ukienda lazima uwe mbio.
katavi , mkoa flani uzinzi uko juu watoto 12-18yrs wana watoto pia. yaani ni uchakaramu kwenda mbele siku moja mtoto wa drs la 6 kaniandikia barua anataka mtanange.nilishangaa sana
 
Hujajua viwanda ni nini. Unadhan mchakato wa kuzalisha human resource unatokea wapi? Uwe unauliza. Hii nayo ni aina ya uzalishaji. Na huu ndo uzalishaj wa kwanza kabisa.


Kwa mtindo huu nchi ya viwanda tusahau
 
ila tabora naona ni kawaida, mie mwenyewe ilinitokea, dada, mdogo mtu na mdogo mtu, wote tumbo 1 baba 1, nilikong'oli, kila 1 kwa muda tofauti, walikuja kujua mwishoni baada yule mdogo wao wa 3 kukuta kizinda hakijafumuliwa, nilipokifumua ndio akaanza ulizwa nani, bint ilibidi aseme, ilibidi nihame tbr, baada ya miaka 15 nilirudi tena, aah wale madada walishaolewa, na walishaachika wako kwa wazazi wao na watoto wao, nilionana nao wote lakini mara hii ilikuwa story, kipindi kile ilikuwa ni enzi za ujana na maji ya moto
 
Ungana na Shigongo lazima utoke yaani nilikuwa kama nacheki movie
Mkuu huko kwenu wala jamaa hajaongopa kifupi maeneo aliyepitia mtoa mada na mimi pia nimepita hayo maeneo

hapo tutuo kuna binti wa kiarabu aliniteka sana naomba niishie hapo
 
Back
Top Bottom