Msungu inv
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 260
- 188
Huo utamu unao hadi leo?
Nani kakudanganya hawapati ngoma, kwani mnaenda wote kupima?Halafu washenz hua ngoma hawapati sijui kwanini
Mkuu huyo mtu nimeshamtafuta sana,nimerudi Moro zaid ya 4× ila si Kwa ajili lkn kila nikifika huwa najaribu kwenda kuulizia mazingira niliyomkuta na kama sikosei aliniambia dada yake alikuwa anafanya biashara kwenye soko kuu la mjini morogoro tatizo hata ofisi ya dada yake ilipo sikufanikiwa kupajuaha ha ha..mkuu umechukua nafasi hii kutuma salamu kwa aziza? aisee..ulipoteza mpenzi wako mjini morogoro, ulipoteza mkanda wa kiuno..ungerudi ukamtafutie huko. wala si almas, wala si dhahabu.... ulipoteza penzi. kaka rudi morogoro kwa ajili ya aziza...
nmemkumbuka mareheme kabasele yampanya aka pepe kale na wimbo wake wa hidaya.
katavi , mkoa flani uzinzi uko juu watoto 12-18yrs wana watoto pia. yaani ni uchakaramu kwenda mbele siku moja mtoto wa drs la 6 kaniandikia barua anataka mtanange.nilishangaa sanaMambo ya usiende mkoa fulani niliyasikia zamani sana,nadhani tatizo ni hulka zako maana katika sehemu ulizozitaja karibu zote nimekaa anagalau kidogo sijaona tofauti na Mbeya au Katavi inategemea akili yako tu nimekaa sana Tanga na Tabora ukiamua kukausha unakausha ukiamua kujitia uchizi ni wewe tu mfano Tanga niliamua kua chizi tu ila sio kua ukienda lazima uwe mbio.
Kwa mtindo huu nchi ya viwanda tusahau
Mmhh uo sio ujanja ni ulimbukeni,..mwenzio kala nyuchi tofauti tfauti karibu 100 huko,,anajua laza zipojje
Fupi ndefu siziwezi kwakweliNdefu ndio tamuu! we wataka ya aje
wewe ndio utaishi milele?Mfuu unaetembea
kuna kijiji urambo tabora kinaitwa JIONEE MWENYEWENgoja Nikajionee Mwenyewe
Mkuu huko kwenu wala jamaa hajaongopa kifupi maeneo aliyepitia mtoa mada na mimi pia nimepita hayo maeneoUngana na Shigongo lazima utoke yaani nilikuwa kama nacheki movie