Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,855
- Thread starter
- #21
Inategemea ntu gani tena? Chichi kwetu kama huvuti chigala ya echi emu bachi wewe chio ntuaangalie asije akanchana tu, kwakua inategemea ntu na ntu
Inategemea ntu gani tena? Chichi kwetu kama huvuti chigala ya echi emu bachi wewe chio ntuaangalie asije akanchana tu, kwakua inategemea ntu na ntu
anaongoza mapambano kidijitaliundertaker mwenyewe hajawahi kufika mtwara
Kaji kwelikweli...anaongoza mapambano kidijitali
Nilimwomba anikatie kirengu cha shamba
sijui kwanini kabana kimya tena
wakati ni huu huu tukabanane kwenye gesi huko huko.
Tukisha ichimba tuijaze kwenye magunia ya katani
Usinikumbushe mashamba yangu ya Big G za JoJona katani tutakuwa tumeilima wenyewe
Usinikumbushe mashamba yangu ya Big G za JoJo
Uganda ni nchi isyo na bahari , kwa hiyo Mu7 hakujua kuwa bahari inakupwa na kujaa, nasikia alishauziwa na wajanja eneo pale Ocean drivekayafufue
akija museveni huku ujue umeumia
hautapata tena kipande cha ardhi.
Uganda ni nchi isyo na bahari , kwa hiyo Mu7 hakujua kuwa bahari inakupwa na kujaa, nasikia alishauziwa na wajanja eneo pale Ocean drive
nipo nipo..nakuja na mrejesho kamili!