Kufuatia kuanza michezo michafu ya waamuzi dhidi ya yanga, naonya viongozi na wachezaji wa yanga wawe makini sana na fitna za ndani na nje ya uwanja tumeshuhudi jana mchezo kati ya coast na yanga,. Maamuzi mabovu yaliyokua ya kuikomoa yanga kama vile rafu za kina boban,banda na nyoso pamoja na penat hiyo ni makusudi ya refa kufanya hivo,. Ko onyo viongozi yanga jiandaeni kwa mapambano ya fitna