Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Yaani kutoa draw mnalialia hivi? ngojeni muanze kufungwa ndo mtajua kama mmesajiri wachezaji au porno stars.
Yanga hatuogopi kufungwa, tumefungwa sana na tumeshinda sana. Kama ni makombe hakunaga kama Yanga. Cha msingi tufungwe kihalali hata kama ni 5-0 siyo mwamuzi anakuwa na unazi kama huyo mshenzi! Ile penati ilikuwa ni 'ball to hand' na siyo 'hand to ball', hata Ulaya tunaona waamuzi wanavyokuwa wagumu kutoa penati.