WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Ngojeni Azam tujibebee hilo kombe lenyewe halafu ndio malalamoko yaongezeke.
KUpitia wapi,unajua kitoabu uasi ni mbaya sna tangu uiasi simba kwa vibuku saba na kujiunga na Azam umekuwa na matatizo sana ulipokuwa simba haukuwa hivi!!