Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
AMEFANYAJE!?Tunamsaka sana huyu dogo, tunataka kumteka.....kwa sasa yuko wapi....anayejuwa atapewa shilling milioni 400 sasa hivi.
AMEFANYAJE!?Tunamsaka sana huyu dogo, tunataka kumteka.....kwa sasa yuko wapi....anayejuwa atapewa shilling milioni 400 sasa hivi.
hiyo inaonekana ndo tabia yako kunyakunya tuWeka hapa hata moja tuamini...
Ukiweka nakunya hapa Kariakoo sokoni asubuhi hii ya saa 08:00
Hao ndio wanaume wa darIla huto tu suruali nae duuu, hata kama Tanzania tycoon, sijui tatizo umri?!
Mtoto wa watu apumzike sasa...
Si kwa nyuzi hizi asee
"Make money to earn respect or make excuses to earn sympathy"
Sio mmbabaishaji ila ni Tapeli MkubwaHuyu jamaa huwa namuona kama mbabaishaji kumbe ni serious yupo makini.
Hongera sana mkuu ONTARIO.
Ni kweli aliona fursa kwa Wadanganyika akaamua kuwa kwapua..huyo dogo safi sana, ana jicho la mwewe, ana karama ya kuiona na kuchangamkia fursa
Vipi kwasasa yupo wapi .??Jamaa nilikutana nàe ofisin TMT, very friendly
Na hako kasura kako pesono !Jaman mnieleweshe vizur maana picha kama hizo hata mimi nimepiga sana na viongoz,kwenye ndege na hata kwenye mahotel
Na hako kasura kako pesono !