Only Bongo ladies waliopo Europe,come this way

Only Bongo ladies waliopo Europe,come this way

KisakaJr

Member
Joined
Mar 3, 2015
Posts
18
Reaction score
0
Jamani wadada wa kibongo,kama wewe ni mdada upo ulaya na upo single au married but you have complicated relationship naomba tuwasiliane jamani.

Maana na mimi nipo huku kwa muda na nawish kuwa na mdada wa kitanzania ambaye tunaweza match together.Kwa waliopo Tz, am sorry kwa sababu za umbali sitoweza manage mawasiliano.

NB: Kama upo interested you can Pm, na tutawasiliana huko mengi zaidi hints nina 30's years, christian, & Tanzanian.

Asanteni
 
Back
Top Bottom