Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Habari zenu wajumbe!
Awali ya yote iweke bayana kuwa matumizi ya social networks na umiliki wa account ya muhusika ni swala binafsi na chochote anachofanya na hiyo account ni totally up to yeye.
Ila inapokuja swala kuwa responsible na accountable kwa matumizi hapo ndipo walakini huanza na kuhoji ustaarabu wa muhusika.
Kuna mwenendo umeanza kushika kasi hivi sasa tena zaidi ni kwa upande wa wanawake. Tabia ya kuficha status ya kumuonyesha kuw yupo online ama la.
Unakuta mtu ameweka whatsapp status last seen ni mwaka jana ila yupo hewani, au anaficha status na inaonyesha kuwa hayupo hewani muda wote lakini kumbe yupo online.
Hii ina maana gani?
Kwann unaficha status yako?
Ni nani anakufanya uweke usiri wa kiai hicho ma kwann?
Je, tukihoji mwenendo wako kitabia tutakuwa tunakosea?
Awali ya yote iweke bayana kuwa matumizi ya social networks na umiliki wa account ya muhusika ni swala binafsi na chochote anachofanya na hiyo account ni totally up to yeye.
Ila inapokuja swala kuwa responsible na accountable kwa matumizi hapo ndipo walakini huanza na kuhoji ustaarabu wa muhusika.
Kuna mwenendo umeanza kushika kasi hivi sasa tena zaidi ni kwa upande wa wanawake. Tabia ya kuficha status ya kumuonyesha kuw yupo online ama la.
Unakuta mtu ameweka whatsapp status last seen ni mwaka jana ila yupo hewani, au anaficha status na inaonyesha kuwa hayupo hewani muda wote lakini kumbe yupo online.
Hii ina maana gani?
Kwann unaficha status yako?
Ni nani anakufanya uweke usiri wa kiai hicho ma kwann?
Je, tukihoji mwenendo wako kitabia tutakuwa tunakosea?
