Toria
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 1,177
- 699
Hapo naona unakatisha tamaa wote wanaojaribu bahati zao humu.
Mimi naamini hata humu mnaweza kukutana na mkafikishana mbali tu kama wote mna malengo chanya na mnaambizana ukweli. Na mtu kama una heshima utamheshimu tu haijalishi mmekutana wapi.
Cha msingi na sekondari kabisa, ni kuwa na muda wa kutosha kumfahamu huyo mtu
Wakweli ni wachache kwenye mtandao kama sio NIL kabisa wengi ni waongo/matapeli ndugu
Sasa mpaka uje ukatane na huyo mkweli ktk 100 needs miracles