-Humbled- :humble:
my my my..... Hashy this coming from you.....
-Enchanted-:hug:
Sasa nataka criticism za bila majungu ili tuipangue list! Tumeshaona Gaijin yupo against na special seats za MP's. Lakini bado nadhani huyu dada ana strong arguments kwanini hataki special seats.
Swali dogo: hamuoni special seats bado zinapeleka watu wasio na sifa? Wanaounga mkono kila hoja kwa asilimia 100?
Mwee!! I am so dissapointed nimekosa.... :crying:
Haya basi ngoja nijikaze na kumpropose Mwanajamiimoja.
Kwa vigezo ulivyoweka sidhani kama inapaswa kuitwa Miss JF....
Hivyo vigezo vimekaa ki-intellectual zaidi....jamani sasa itaitwaje?
Miss jf with brain?
MKUU U-MISS SI UNA VIGEZO?? SASA YA NINI TENA WAZEE, NA WAMAMA KUCHNGANYA KWENYE U-MISSMshindi atapatikana kutokana na jinsi posts zake zinavyomuelezea yeye alivyo, vigezo vya msingi tutakavyoangalia ni kama vifuatavyo:
1. Sense of humour, love, kindness etc
2. Level of maturity
3. Special skills in certain fields ( hawa wanachangia vizuri zaidi kwenye threads zenye kuhitaji utaalam mf. Sheria, udaktari, uchumi, saikolojia n.k)
4. Someone never uses abusive language to stress her points.
5. Ability to post relevant topics in specific forums.
6. General awareness of different things ( anasoma magazeti, anasikiliza redio, ana watch TV, ni member wa social networks n.k)
Kwa kuanza napendekeza wafuatao wapigiwe kura ( mtanisamehe na kunisahihisha kama wengine atakuwa si wanawake, ila nimejitahidi kufuatilia posts zao ili kutambua jinsia zao)
1) Gaijin
2) Miss Judith
3) Preta
4)
5)
6)
7) Maria Roza
8) Neema
9) Chauro
10) Faiza Foxy
payuka
naamini umeanzisha shindano hili kwa nia njema kabisa lakini kwa upande wangu sikubaliani na mashindano ya aina hii. Kwa nini basi?
Kwa sababu ninaamini kuwa wanawake ni sawa na wanaume katika kila kitu isipokuwa masuala yanayohitaji nguvu za mwili (hata hapa kuna school of thoughts zinazosema kuwa usawa uko wakati wote, na ndio maana watoto wakike na wakiume hawana tofauti kwenye ubora katika michezo)
kwa maana hiyo basi, tunapotaka kutafuta missjf inaamisha kuwa thamani ya mchango wa kiakili (intelligence) wa member wanawake hatuupi hadhi sawa na ule wa wanaume kiasi cha kuwa lazima tuwalinganishe wanawake wenyewe kwa wenyewe, wakati kimsingi jambo hilo si kweli na ndio maana huwezi kuta vyuo vikuu vinatoa tunzo ya mwanafunzi bora wa kike kwa sababu ni kuwavunjia heshima
yuhuuuuuuuuuuuu, kuna mtu alitabiri ujio wako, khekhekheheeeeeeee
Hivyo vigezo vimekaa ki-intellectual zaidi....
Naombeni kazi ya kuhesabu kura.
Payuka
Naamini umeanzisha shindano hili kwa nia njema kabisa lakini kwa upande wangu sikubaliani na mashindano ya aina hii. Kwa nini basi?
Kwa sababu ninaamini kuwa wanawake ni sawa na wanaume katika kila kitu isipokuwa masuala yanayohitaji nguvu za mwili (Hata hapa kuna school of thoughts zinazosema kuwa usawa uko wakati wote, na ndio maana watoto wakike na wakiume hawana tofauti kwenye ubora katika michezo)
Kwa maana hiyo basi, tunapotaka kutafuta missJF inaamisha kuwa thamani ya mchango wa kiakili (intelligence) wa member wanawake hatuupi hadhi sawa na ule wa wanaume kiasi cha kuwa lazima tuwalinganishe wanawake wenyewe kwa wenyewe, wakati kimsingi jambo hilo si kweli na ndio maana huwezi kuta vyuo vikuu vinatoa tunzo ya mwanafunzi bora wa kike kwa sababu ni kuwavunjia heshima
afu wee husny, naskia yale makalio yangu ya kubandiaka AshaDii alikupa wewe.
Namtoko kesho yatume haraka