Ongezeko la watu hifadhi ya Ngorongoro kuleta madhara makubwa kwa wakazi asilia na uhifadhi

Hifadhi ilianzishwa Wamasai wakiwa pale pale Ngorongoro na wengine kuletwa kutoka Serengeti. Hapo ndipo eneo letu la kupambana. Tulipo hapo tunapambana kimaisha yani. Ni eneo letu la urithi. Hatuondoki.
Acha ushamba wewee.....unajua maana ya Hifadhi?.... unajua kama simba anajua yeye anaishi hifadhini?.... swala anajua kama anaishi hifadhini?.... wao wanajua wanaishi kwenye maeneo yao ya maisha yao....sisi binaadamu ndio tunasema wanaishi Hifadhini
 
Acha ushamba wewee.....unajua maana ya Hifadhi?.... unajua kama simba anajua yeye anaishi hifadhini?.... swala anajua kama anaishi hifadhini?.... wao wanajua wanaishi kwenye maeneo yao ya maisha yao....sisi binaadamu ndio tunasema wanaishi Hifadhini
Hapa ulitaka kusema nini? Mbona unaonhea vitu ambavyo havieleweki pamoja na kutokuwa kwako mshamba?
Tuliza akili uelezee uweze kueleweka na kujibiwa. Au mkwanja uliolipwa na Manongi umeisha?
 
Hapa ulitaka kusema nini? Mbona unaonhea vitu ambavyo havieleweki pamoja na kutokuwa kwako mshamba?
Tuliza akili uelezee uweze kueleweka na kujibiwa. Au mkwanja uliolipwa na Manongi umeisha?
Tatizo la wengi hili Yani ukiambiwa ukweli unasema Mtu kalipwa...
 
Tatizo la wengi hili Yani ukiambiwa ukweli unasema Mtu kalipwa...
Mkwanja umepita. Watu wamelipwa. Watu wamelipiwa press, wamelipiwa tiketi za ndege na mpunga wa mfukoni wamepewa.
Muda ukifika utaona.
 
hivi unafikiri mna muda mrefu hapo, mtafukuzwa na hamna la kufanya kwasababu watanzania walio wengi wanataka mtoke hapo. mtaburutwa pamoja ngómbe zenu bora waambie ndugu zako waanze kutafuta pa kuhamia mapema. hapo ifanyike operation kama ya kimbunga tu kuwaondoa kinguvu kama hamtaki kuondoka kwa amani. na hata dunia hamuwezi kuililia kwasababu ngorongoro ni urithi wa dunia.
Hahaha.
Sio kwa Direct kick hii mwam
 
Issue sio kuondoka ama kutoondoka...issue ni kuokoa maisha ya watu na hifadhi kwa ujumla
Waarabu wanataka kujenga mahoteli wewe.
Acha kutetea wenzako waumizwe kwa maslahi ya matajiri wachache.
Wewe ni maskini kama wao ndio maana umelipwa hela kidogo uje kupiga kelele humu.
 
Uchumi wa Tanzania upo diversified. Sioni sababu ya kukomaa na kaeneo kama NCA wakati tuna maeneo ya utalii lukuki nchi hii.
Kinachosukuma ni maslhai binafsi na udhaifu wa regime ya sasa.
 
naona round ya pili imeanza tangu mkataba U.A.E usainiwe kwani hao waarabu wanataka kulima ngorongoro au ni hoteli?
 
Back
Top Bottom