Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,483
- 19,281
hivi unafikiri mna muda mrefu hapo, mtafukuzwa na hamna la kufanya kwasababu watanzania walio wengi wanataka mtoke hapo. mtaburutwa pamoja ngómbe zenu bora waambie ndugu zako waanze kutafuta pa kuhamia mapema. hapo ifanyike operation kama ya kimbunga tu kuwaondoa kinguvu kama hamtaki kuondoka kwa amani. na hata dunia hamuwezi kuililia kwasababu ngorongoro ni urithi wa dunia.Jaribuni kutufukuza muone kama tuna sababu ya msingi au hatuna.
Halafu mnaoshabikia sisi kuondolewa mtakuwa majangili.