Ongezeko la wanawake wenye vitambi

Ongezeko la wanawake wenye vitambi

Bora ww umesema kitambi, wenyewe wanasemaga Tumbo.
 
Ulaji wa holela,siku moja nimepanda daladala nikiwa nimekaa dada mmoja alikuwa amesimama, daladala limekula nyomi,sasa tumbo lote limenibana mimi niliyekaa, ikabidi nimuulize '' vipi una mimba nikupishe ukae? '' Daaaaa kilichofuata ilibidi nishuke kabla ya kufika nilipokuwa naenda.
 
Back
Top Bottom