Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sasa km ulijua ni me uliulizia ili iweje?!Me siku zote najua me kumbe ke haya bhana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sasa km ulijua ni me uliulizia ili iweje?!Me siku zote najua me kumbe ke haya bhana
Keshakaa sawa huyooo[emoji4] [emoji4] [emoji4]Hahah...kuna uzi nilikutag umeuona?
Huyo jamaa ananijua vizuri alikuwa anani enjoy tu. Mimi Me mkuu hapa namweka sawa huyu mtoto hapo juu
Miss you too my loveMiss you mamy
Hebu mpe story za uanaume wangu huyoKeshakaa sawa huyooo[emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji218]Nnavyochukia mwanaume mwenye kitambi
sasa i can't imagine mi ndio niwe mmiliki wa hiko kitambi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu mpe story za uanaume wangu huyo
Sasa unazidi unless unaishi marsSijawahi kubahatika kuwa na rafiki mwenye kitambi sio mwanaume sio mwanamke.
Najua umenimiss kwa vyote eeehMiss you too my love
Sijawahi mkuu...Sasa unazidi unless unaishi mars
Sio dawa hiyo.....waangalie adui yao nani kwanza.....Nawashauri wajitahidi kunywa juis za ukwaju na ndimu bila kusahau working out na kuepuka vyakula vya kuongeza mafuta.
Kuna mtu kamuuliza ndio akajibu yeye ni ke ndio nikashangaa me siku zote najua me[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sasa km ulijua ni me uliulizia ili iweje?!
Anza kuangalia vizuri utagundua.....mimi mpaka leo nashindwa kutofautisha Mimba au kitambi nikiwaona wanawake wa sampuli hiyo unaowasema
Kuna jamaa aliitwa misifa sijui bado yupo hai!Sijawahi mkuu...
Vitambi labda uwe wa kwanza
Ndio baby[emoji1]Najua umenimiss kwa vyote eeeh
[emoji38] [emoji38] [emoji38] yule ni my huby,barafu Wa moyo wangu, tiba ya maradhi yanguKuna mtu kamuuliza ndio akajibu yeye ni ke ndio nikashangaa me siku zote najua me[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Woow..haya njoo huku chumbani tuteteeNdio baby[emoji1]
[emoji188] [emoji188] [emoji188]Woow..haya njoo huku chumbani tutetee