Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
C mtu mzur kwa matumiz ya binadamuBasii huyu binti hanitakii mema mze
C mtu mzur kwa matumiz ya binadamuBasii huyu binti hanitakii mema mze
Hahah...kuna uzi nilikutag umeuona?Nijikute tu!!
Huyo jamaa ananijua vizuri alikuwa anani enjoy tu. Mimi Me mkuu hapa namweka sawa huyu mtoto hapo juuMe siku zote najua me kumbe ke haya bhana
Eh Bailly5.Umbo kama tangawizi duuh
Hahah...kuna uzi nilikutag umeuona?
Balaa tupu. Halafu wanavaa nguo zimewabana sanaEh Bailly5.
Subiri nitakutagSijauona, uzi gani?
HahahaBalaa tupu. Halafu wanavaa nguo zimewabana sana
Hahaha
Ukimwona hatamaniki anatembea kama maksai
eti wanasema mwili kama uji wenye mabuje bujeItakuwa kwake hamna kioo huyooWadau unakuta mmama anakitambi na kavaa jinsi inambana na juu blauz yaaan mvuto F kabisa
Miss you mamy
Matumizi ya ARVs, Uzazi wa mpango, vyakula vyenye makemikali,uvivu wa mzaoez, n.k unakuta jitu linakitambi chenye michirizi kama pundamilia alafu chura imepotea kabsaaa

Wala kwani unataka kujimisisha kwangu shemeji!
majibu yako yanachekesha du