BilinganyaUnamaanisha unakuta anaumbo kama TANGAWIZI au?
Rafiki kile kitambi chako kimesababishwa na mambo ya feza?![]()


rafiki niache na kitambi changuHivi kati ya wale wapenzi wako wawili wa JF yaani Kasinde na mahondaw ni nani ana kitambi kikubwa zaidi mkuu?Utoaji mimba... Kutumia vyakula vya mafuta sana... Kutokufanya mazeozi... Uzazi...



Mazoez hawataki wanagida Savanana na Light bado Kuku za KFC what do u expect ona huyu Mama ana 40+ by age lakin kama Bint wa 30 hv![]()
HahahahahaBilinganya
Tamaa tu huna lolote wewe unashindwa kumwambia mpenzi wako afanye diet.!Yaani hawa wanawake wenye vutambi ambavyo mimi siwapendi kujihusisha nao kimapanzi,hakika wangefanya jitihada za kuviondoa kabisa Nina mdada mmoja ni mpenzi wangu yaani tangu awe na kitambi,ile hamu yaku-MFANYA imepungua kabisa badala yake mawazo yameanza kwenda kwa baadhi ya mabinti wa mitaani ambao viuno vyao vyembamba na nyonga zao pana huku makalio makubwa kiasi sambamba na matumbo yao kuwa flat.
Astaghfirurah! Wee unavoongea kama umejiumba! Hv kuna mtu asietaka chura kweli? Sema ndio kaumbwa hivyoMatumizi ya ARVs, Uzazi wa mpango, vyakula vyenye makemikali,uvivu wa mzaoez, n.k unakuta jitu linakitambi chenye michirizi kama pundamilia alafu chura imepotea kabsaaa
