Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

Ongezeko la wadada wanaotoboa pua

cocastic hivi mbona hujaniambia kama umekutana na goroko kwenye daladala
Ajahaahah kumbe na yey ametoboa pua shenzi sna cocastic Kama Ni wew nilikutana kweny daladal za kutoka makumbusho kwenda bunju then ukashuka basihaya bas wee Ni pisi Kali ila tatizo umetoga pua
 
Mimi natunduz 2 nikiweka kiwako ninapoamuwa kinafurahisha macho yangu.. ilwa sivai kikazi kabiswaaa..
 
Kwangu mimi mwanamke alietoboa pua ni hamnazo

Huwa simzingatii hata kama ni mzuri kiasi gani!?
 
Watakuambia uache watu waishi maisha yao, usiingilie uhuru wao.
 
Ndo ukamtafute tena
Yule mmama alikuaga shosti yake bi mkubwa, baada ya bi mkubwa kushtukia mchezo ushosti ukafa halafu na mimi nilipigwa mkwara mzito sana juu ya kutembea na wa mama watu wazima, nilipelekwa mpaka Angaza kupimwa ngoma.
Ili kuleta amani kwenye familia ilibidi nijikatae mwenyewe tu maana bimkubwa kila siku presha ilikua inapanda.
Ila yule mmama alijua kuutuliza mtima wa moyo wangu kwa kweli, yaani alikua ananipa mpaka mwenyewe napagawa.
 
Back
Top Bottom